Simu za mikopo usipolipa inakuwaje?

Simu za mikopo usipolipa inakuwaje?

Tumia bure basi
Acha kusoma umbeya mitandaoni. Simu na router zinazotumia mtandao mmoja zinakuwa unlock na watu wanatumia mitandayo yote sembuse hizo simu za kitapeli?😀😀😀😀
Hapa nachunguza ipi itakayonifaa ni Xiaomi, Samsung au Infinix. Niifanyie manuvaa😀😀😀😀
 
Acha kusoma umbeya mitandaoni. Simu na router zinazotumia mtandao mmoja zinakuwa unlock na watu wanatumia mitandayo yote sembuse hizo simu za kitapeli?😀😀😀😀
Hapa nachunguza ipi itakayonifaa ni Xiaomi, Samsung au Infinix. Niifanyie manuvaa😀😀😀😀
Sawa tapeli nenda kawatapeli nakusubiria pale Ukonga Keko Segerea
 
Mavi kunukq screenshot tuone
Hii nini
Screenshot_20250204-180046.jpg
 
Unaishi kwa kuwatapeli watu na simu za mkopo na TV.
Sasa hivi mna tv za mkopo Fox tv nchi 43 ambapo kwa mkopo ni milioni moja na laki 3 kwa mwaka😀😀😀
Quality ya picha sasa ni sawa na Alitop😀😀😀😀.
Jamaa ngoja nikuweka kwenye IGNORE
 
Inategemeana na mtu na mtu na mahali uishipo, nasikia wanaume wa Dar ndiyo wana wakati mgumu kwani kuna wengine mpaka wanafilwa tena hadharani kabisa na wengine wanafanya makusudi kutorudisha ili wabakwe.
Kheeeh hii mbna mpyaa, Lol
 
Acha kusoma umbeya mitandaoni. Simu na router zinazotumia mtandao mmoja zinakuwa unlock na watu wanatumia mitandayo yote sembuse hizo simu za kitapeli?
Hapa nachunguza ipi itakayonifaa ni Xiaomi, Samsung au Infinix. Niifanyie manuvaa
Hamuogopi kufatiliwa?
 
Hamuogopi kufatiliwa?
Nani anifuatilie JF? Hizo simu hata ukiingia Youtube kuna Tutorial kibao watu wanafanya kazi.
Simu za mikopo hadi za USA watu wanazichakachua wanatumia bure sembuse hizi za kausha damu?
Simu ya 1GB RAM, 3G na Internal storage 4GB kwa bei halisi ni laki moja na nusu ila hawa wa mikopo unalipia laki 5. Hapana
 
Nani anifuatilie JF? Hizo simu hata ukiingia Youtube kuna Tutorial kibao watu wanafanya kazi.
Simu za mikopo hadi za USA watu wanazichakachua wanatumia bure sembuse hizi za kausha damu?
Simu ya 1GB RAM, 3G na Internal storage 4GB kwa bei halisi ni laki moja na nusu ila hawa wa mikopo unalipia laki 5. Hapana
Huyo hajui kitu usitumie nguvu kuwajibu watu kama Hawa mwanangu
 
Nani anifuatilie JF? Hizo simu hata ukiingia Youtube kuna Tutorial kibao watu wanafanya kazi.
Simu za mikopo hadi za USA watu wanazichakachua wanatumia bure sembuse hizi za kausha damu?
Simu ya 1GB RAM, 3G na Internal storage 4GB kwa bei halisi ni laki moja na nusu ila hawa wa mikopo unalipia laki 5. Hapana
Duuuh basi watu ni majasiri sanaa.
 
Back
Top Bottom