Dr. Chapa Kiuno
JF-Expert Member
- Sep 11, 2009
- 443
- 18
Wadau, Tangu jana simu za line mbili zimekuwa zikigoma kufanya kazi.... Utakuta line moja inakubali lakini ile ya pili inasema EMERGENCY... Jeh! Kuna mtu anaweza kujua source ya tatizo hili??? kwa sababu ukiwa Posta, Kariakoo na maeneo ya wilaya nyingine kuacha Temeke hapa Dar, zote zinafanya kazi.