Simu za Halotel H6302

ntamaholo

JF-Expert Member
Aug 30, 2011
12,906
6,909
Wana bodi,

Kwa masikitiko makubwa, nimeshitushwa na simu za halotel H6302 ambazo zinauzwa na halotel na mawakala wao nchini.

Simu hizi kwa kuwa ni brand ya halotel, nilitarajia zitakuwa original na hivyo siku tcra wakizima mitambo ya simu fake, basi watumiaji wa simu hizo watakuwa salama.

Chakushangaza sasa, nazo zimo kwenye orodha ya simu zitakazo shindwa kufanya kazi kwa ufake wake.

Nimeangalia kwa kutumia utaratibu wa kutuma imei no kwenda 15090 na haya ndo majibu yake.

"... Hong Kong Garland International Limited - T-max M1,M2 - Kama IMEI haioani na simu yako wasiliana na muuzaji. Usipoweza,ibadilishe kabla ya Juni 2016 kwani yaweza kuzimika...".

Wito kwa ndugu zangu, simu hizo hazioani na aina ya simu hivyo ni matatizo. Tuzieupuke kukwepa hasara. Iwapo ukinunulia ndugu zako vijijini kwa kuamini ni salama, utaumia.

Aksante
 
Wana bodi,

Kwa masikitiko makubwa, nimeshitushwa na simu za halotel H6302 ambazo zinauzwa na halotel na mawakala wao nchini.

Simu hizi kwa kuwa ni brand ya halotel, nilitarajia zitakuwa original na hivyo siku tcra wakizima mitambo ya simu fake, basi watumiaji wa simu hizo watakuwa salama.

Chakushangaza sasa, nazo zimo kwenye orodha ya simu zitakazo shindwa kufanya kazi kwa ufake wake.

Nimeangalia kwa kutumia utaratibu wa kutuma imei no kwenda 15090 na haya ndo majibu yake.

"... Hong Kong Garland International Limited - T-max M1,M2 - Kama IMEI haioani na simu yako wasiliana na muuzaji. Usipoweza,ibadilishe kabla ya Juni 2016 kwani yaweza kuzimika...".

Wito kwa ndugu zangu, simu hizo hazioani na aina ya simu hivyo ni matatizo. Tuzieupuke kukwepa hasara. Iwapo ukinunulia ndugu zako vijijini kwa kuamini ni salama, utaumia.

Aksante

Mkuu labda ulitarajia kupata jibu gani?
 
Mkuu labda ulitarajia kupata jibu gani?
Mkuu, simu ni H6302 lkn majibu ya imei ni

Hong Kong Garland International Limited - T-max M1,M2 - Kama IMEI haioani na simu yako wasiliana na muuzaji. Usipoweza,ibadilishe kabla ya Juni 2016 kwani yaweza kuzima.

Ukiangalia majibu ya imei hayafanani na simu
 
Rudi halotel majibu watakayokupa ya attach hapo, maana hivi utakua kama umetumwa...
 
Rudi halotel majibu watakayokupa ya attach hapo, maana hivi utakua kama umetumwa...
Nimenunua simu hizi mbili hivyo hofu ninayo. Unless waeleze kwa nini simu iitwe H6302 halafu ukiangalia majibu ya imei iwe tofauti maana inasomeka Hong Kong Garland International Limited - T-max M1,M2
 
Nimenunua simu hizi mbili hivyo hofu ninayo. Unless waeleze kwa nini simu iitwe H6302 halafu ukiangalia majibu ya imei iwe tofauti maana inasomeka Hong Kong Garland International Limited - T-max M1,M2
Nakubaliana nawewe ila hii ishu ni mpya kwaio jibu wanalo wao sio huku na kama ni fake na wewe uliwaambia unataka simu original ni haki yako ubadilishiwe just go back waulize jibu watakalokupa share na sisi.
 
Nakubaliana nawewe ila jibu wanalo wao sio huku na kama ni fake ni haki yako ubadilishiwe just go back waulize jibu watakalokupa share na sisi.
Sawa ntakupa mrejesho
 
  • Thanks
Reactions: vvm
Mkuu inakaa na chaji mda gani maana nataka nijipatie hiyo
Chaji yake pia si nzuri, ukitumia simu kwelikweli hayazidi 48hrs.

Lkn we wa ajabu, wkt mie niliyenunua simu mbili naanza kujuta maana zinasumbua, we unataka kununua.
 
Chaji yake pia si nzuri, ukitumia simu kwelikweli hayazidi 48hrs.

Lkn we wa ajabu, wkt mie niliyenunua simu mbili naanza kujuta maana zinasumbua, we unataka kununua.
Kk umepata hasira niliongea na mfanyakazi wa hallotel alituletea modem ofcn kwetu ss nikaona niondokane na hii ambayo ninavyochati hapa haifiki saa tano nitabadili betri, inasumbua chaji mbaya nitamuuliza pia hii maana anatumia simu hiyo
 
Simu za halotel nazikubali sana hasa H8401 smartphone kwani inauwezo mzuri sana ukilinganisha na simu za mitandao mingine kama tigo, airtel na voda ambazo mara nyingi zinakuwa very slow (unabofya app flan mfano sms au contact then unaisubir i-load)

Wewe unaelilia simu ya 22,000/= pole maana hata iphone wanapewa jibu hilohilo.

Nasubir kuona tz ambayo haiwez kutengeneza hata saa ya mkonyezo ikizima simu wanazoziita fake.
 
Kwakuongezea pia nnatumia H6302 kwa kuchat zaid na inakaa na chaji Sikh mbili mpaka 3 wakati nikitumia H8401 kwa maswala ya internet na inamaliza 24 hrs ukiwa umewasha 3G kutwa nxima.
 
776dbcbb3712043770c1f2693e8a0207.jpg
a82be6bfeddc1c6ed7e1fe8aa2459cdb.jpg
 
Naenda kuchukua hiyo H8401 muda si mrefu naona inakaa na chaji muda mrefu kama ni siku tatu inatosha
 
Naenda kuchukua hiyo H8401 muda si mrefu naona inakaa na chaji muda mrefu kama ni siku tatu inatosha
H8401 ni smartphone inakaa na chaji 24hrs na kuendelea kulingana na matumizi yako.

Ila tambua kwamba ni SIM 1 pekee ina-support 3G na hapo inaingia line ya halotel pekee. Ili uweze kuweka line ya mtandao mwingine kweny SIM 1 ni lazima ui-unlock.
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom