Simu yenye Camera Bora tafadhali

Simu yenye Camera Bora tafadhali

Asante mtaalam kwa kuja. Kwa sasa sijali suala la bajeti bali ubora tuu. Maana nishanunua sana. Nikipata machaguo mawili au matatu nitachagua Mwenyewe.
Thank you in advance.
Simu za Pixel zina Camera nzuri ila hazisifiki kwa ukaaji chaji, kama ukaaji chaji sio shida pixel 6/6A unapata around laki 8 hivi kwenye sale mpya.

Pia flagship yoyote ile ina camera nzuri, ila flagship nyingi zinacheza around milioni 2 hadi 3 zikiwa mpya,

Unaweza tafuta used zake hizi refurb za kibongo sema nazo ni kubet utapata camera nzuri ila simu inaweza kuwa na matatizo mengine.
 
Muda mwingine unaweza kuwa na kitu kizuri ila ukashindwa namna bora ya kupata picha nzuri.


Kwangu mimi mpenzi wa samsung naona bora udake iphone 14 pro max hakika ukipiga portrait utanikumbuka.
Asante sana kwa mawazo yako nashukuru.
 
Naomba Msaada wa kitaalam ninunue simu gani yenye Camera Bora inayotoa picha za viwango Vya hali ya juu na isiyopiteza ubora wa picha haraka.

Lengo kuu ni shughuli za kibiashara ambazo asilimia 98 zinategemea picha.
Bajeti sio tatizo maana simu ndio jembe lenyewe linalotupa liziki.
Nunua Google pixel mkuu zipo vizur
 
Simu za Pixel zina Camera nzuri ila hazisifiki kwa ukaaji chaji, kama ukaaji chaji sio shida pixel 6/6A unapata around laki 8 hivi kwenye sale mpya.

Pia flagship yoyote ile ina camera nzuri, ila flagship nyingi zinacheza around milioni 2 hadi 3 zikiwa mpya,

Unaweza tafuta used zake hizi refurb za kibongo sema nazo ni kubet utapata camera nzuri ila simu inaweza kuwa na matatizo mengine.
Nashukuru mtaalam ila sijaelewa unapozungumzia hizo pixel. Inamaana simu nyingine KAMERA zake hazipimwi kwa pixel?? Natamani nijue walao simu mbili hivi zenye pixel ambazo ni nzuri.

Ingawa hizo flagship ndio hasa nitazipa kipaumbele.
 
Angalia pia na ukubwa wa store, hasa kama utakuwa unaitumia pia kwa video. 500 GB minimum.

Amandla...
 
Simu za Pixel zina Camera nzuri ila hazisifiki kwa ukaaji chaji, kama ukaaji chaji sio shida pixel 6/6A unapata around laki 8 hivi kwenye sale mpya.

Pia flagship yoyote ile ina camera nzuri, ila flagship nyingi zinacheza around milioni 2 hadi 3 zikiwa mpya,

Unaweza tafuta used zake hizi refurb za kibongo sema nazo ni kubet utapata camera nzuri ila simu inaweza kuwa na matatizo mengine.
Okay pixel unamaanisha kampuni ya google??
 
Kama ni biashara ya instagram ni iphone kuanzia 12 tu nimejaribu kutumia samsung s22 ila bado iphone zina uwezo mkubwa wa kutoa picha halisi na kudhibiti mwanga.Na hiyo ndio silaha kubwa ya instagram algorithm.
Umeongezea kitu muhimu sana sana. Nashukuru kwa utaalam huu. Sikuwa najua utofauti.
 
Back
Top Bottom