Magodoro_bei_poa
Senior Member
- Sep 16, 2022
- 190
- 148
Iphone moto mwingine na kwenye ulimwengu wa simu itatesa sana
Sijui niseme nini zaidi ya kushukuru sana. Asante ndugu kwa upembuzi wa kina.1. SAMSUNG GALAXY S23 ULTRA
Hii ina kamera poa na kama haitoshi imetimia kila Kona kuliko flagship nyingine yoyote ile. Kama utaipata kwa milioni 2 na nusu kwenda juu sio mbaya. Ila rangi zake haziendani na reality according to some reviewers lakini general colour science ni nzuri pia, zoom iko poa, portrait ziko poa kila kitu kiko poa hapa. Ukishindwa hii chukua hata Samsung Galaxy S23, Galaxy S23+ au hata S22 Ultra
2. APPLE IPHONE 14 PRO MAX
Hii ni level moja na huyo Samsung S23 Ultra ila picha zake zina very high contrast kuliko kawaida, nadhani ni image processing ya iOS ndio inapelekea hii hali, ila colour accuracy iko poa sana. Kwa Bongo hili ni chaguo zuri coz inapatikana madukani kiurahisi.
Ukishindwa bei ya hii chukua hata iPhone 14 Pro, iPhone 14 Plus au hata iPhone 13 Pro Max
3. GOOGLE PIXEL 7 PRO
Hii ndio ninarecommend zaidi kuliko simu nyingine yoyote ile kwa sababu ya bei yake. Ali Express inauzwa TSh 1,800,000/=
Honestly kwa bei hii huwezi kupata simu yenye kamera bora kushinda hii
Ukishindwa bei ya hii chukua hata Google Pixel 7
4. XIAOMI 13 ULTRA
Hii inakuja na two colour modes, Leica Authentic na Leica Vibrant na kuna uwezekano picha zake ni more natural kuliko hizo nyingine zote hapo juu. Global version ni very expensive so ni heri uagize kutoka China.
Kwa ajili ya biashara tumia mode ya Leica Authentic kwa sababu picha zake zina rangi za uhalisia kuliko Leica Vibrant.
Ukinunua Xiaomi 13 Ultra unapata advantage ya kuwa na vitu kama variable aperture na Leica colour science hivyo inakuruhusu kutumia photographic style unayoipenda, it's like a camera with a phone in it
Ukishindwa bei ya hii unaweza kupata Xiaomi 13 Pro au hata Xiaomi 12S Ultra.
5. OPPO FIND X6 PRO
Hii ni simu iliyo suprise phone reviewers wengi kwenye kamera mwaka huu kwa sababu ilikuwa ni beyond expectations kwa kampuni kama Oppo kuja na simu yenye kamera bomba kama hii. Ikiwa unataka kwa ajili ya biashara basi itakufaa kwa sababu bei yake ni rafiki sana na kamera yake iko poa kuliko flagship nyingi sana. Ukishindwa hii chukua Vivo X90 Pro Plus
Nimekutajia simu tano ila Chief-Mkwawa amesema kila flagship inatoa picha nzuri. Kwa hiyo tofauti na hizi tano kuna flagship nyingine nyingi tu zinazoweza kukufaa kwa picha.
Nilichofanya mimi ni kukupa mifano tu ya hizo flagship zenye kamera nzuri
Unaweza kuangalia flagship nyingine mtandaoni, Google iko open ikiwa unataka kutafuta knowledge
ebu zitaje izo current phones zinazo shindwa kwa iphone 7Techno simu zao inapoingia sokoni utaipenda
Niliwahi kukimbilia phantom kila baada ya muda picha/video inafifia quality
Binafsi bado kwenye simu naona iPhone yupo vizuri
Mpaka sasa hivi iPhone 7 tu ipo sokoni kitambo lakini inazishinda current phones nyingi
Simu inashindwa light optimization kila picha inakutoa kama umetoka kwenye machimbo ya makaa
Kama ni biashara ya instagram ni iphone kuanzia 12 tu nimejaribu kutumia samsung s22 ila bado iphone zina uwezo mkubwa wa kutoa picha halisi na kudhibiti mwanga.Na hiyo ndio silaha kubwa ya instagram algorithm.


.Naomba Msaada wa kitaalam ninunue simu gani yenye Camera Bora inayotoa picha za viwango Vya hali ya juu na isiyopiteza ubora wa picha haraka.
Lengo kuu ni shughuli za kibiashara ambazo asilimia 98 zinategemea picha. Bajeti sio tatizo maana simu ndio jembe lenyewe linalotupa liziki.
Kuna jamaa kaja na Sony inatoa picha balaa lakini kakaa nayo mwezi tu naona picha zishaanza kuwa na ukungu tayariIphone 14 pro max kwa budget kubwa kwa budget ya kawaida pixel 7 pro iphon 13 pro series na 12 pro series zinabonda picha sana
Hapa duniani simu ni iPhone mengine ni matoleo ya smu , wapenda Samsung huwa wanajitutumua Ila ukweli moyoni wanaujuaKuna jamaa kaja na Sony inatoa picha balaa lakini kakaa nayo mwezi tu naona picha zishaanza kuwa na ukungu tayari
Iphone kashinda sana katika hili unakaa na simu bado ubora ule ule
Ndio maana hata iphone 7 kuna species nyingi inawazidi sana
Hapa duniani simu ni iPhone mengine ni matoleo ya smu , wapenda Samsung huwa wanajitutumua Ila ukweli moyoni wanaujua





Google Pixel anasifika kwa kamera nzuri kwa bei rahisiKatika hii Dunia bingwa wa Picha Kwa upande simu ni mmoja Google pixel wadau wa iphone wenyewe na Samsung wanalijua hili
Samsung Galaxy S23 Ultra ni simu nzuri kushinda iPhone 14 Pro Max, tena imeiacha parefu sanaHapa duniani simu ni iPhone mengine ni matoleo ya smu , wapenda Samsung huwa wanajitutumua Ila ukweli moyoni wanaujua
Hiyo Sony haikuwa refurbished?Kuna jamaa kaja na Sony inatoa picha balaa lakini kakaa nayo mwezi tu naona picha zishaanza kuwa na ukungu tayari
Iphone kashinda sana katika hili unakaa na simu bado ubora ule ule
Ndio maana hata iphone 7 kuna species nyingi inawazidi sana
Boss naomba ushauri nichukue pixel gan ambayo selfie yake ni kali yani kaaaliii haswaSimu za Pixel zina Camera nzuri ila hazisifiki kwa ukaaji chaji, kama ukaaji chaji sio shida pixel 6/6A unapata around laki 8 hivi kwenye sale mpya.
Pia flagship yoyote ile ina camera nzuri, ila flagship nyingi zinacheza around milioni 2 hadi 3 zikiwa mpya,
Unaweza tafuta used zake hizi refurb za kibongo sema nazo ni kubet utapata camera nzuri ila simu inaweza kuwa na matatizo mengine.
Boss naomba ushauri nichukue pixel gan ambayo selfie yake ni kali yani kaaaliii haswaSimu za Pixel zina Camera nzuri ila hazisifiki kwa ukaaji chaji, kama ukaaji chaji sio shida pixel 6/6A unapata around laki 8 hivi kwenye sale mpya.
Pia flagship yoyote ile ina camera nzuri, ila flagship nyingi zinacheza around milioni 2 hadi 3 zikiwa mpya,
Unaweza tafuta used zake hizi refurb za kibongo sema nazo ni kubet utapata camera nzuri ila simu inaweza kuwa na matatizo mengine.
Pixel mpya ya bei rahisi ni pixel 6A chukua hio, pixel ni Computational photography kuliko hardware, tafuta ports za software ya pixel 8 itakusaidia.Boss naomba ushauri nichukue pixel gan ambayo selfie yake ni kali yani kaaaliii haswa
Uwezo wangu mwsho 6 huko kwenye 7 na 7pro siziwez
Sawa shukran boss,sema sijaelewa hapo kwenye kuchukua port za pixel 8 ndo inakuwajePixel mpya ya bei rahisi ni pixel 6A chukua hio, pixel ni Computational photography kuliko hardware, tafuta ports za software ya pixel 8 itakusaidia.
Kama watu wanavyodownload Gcam, kunakuwa na Gcam apps zinazokupa features za pixels mpya.Sawa shukran boss,sema sijaelewa hapo kwenye kuchukua port za pixel 8 ndo inakuwaje