Kwanini walifungia simu za Window?

joseph_mbeya

JF-Expert Member
Nov 20, 2023
1,123
2,948
Habari zenu wana JamiiForums,

Niende kwenye mada moja kwa moja, unajua nimekuwa nikijiuliza hivi ni kwanini walifungia window phone?

Nakumbuka kuna kipindi nipo shule kuna ndugu yangu mmoja alikuwa na nokia lumia ilikuwa ni window phone enzi hizo zinasupport kila kitu aise alikuwa anasumbua kinoma mtaani pale
ilikuwa ni moja ya simu nilikuwa naitamani sana.

Lakini nilipokuja Zanzibar kuna mitumba ya vitu vingi sana kama simu, radio za aina mbali mbali, magari na kadhalika

Kuna chimbo nilibahatika kuona window phones nyingi wanaziuza hapo nilichukua moja inaitwa microsoft lumia

Sio siri simu ni ya muda sana lakini ipo bomba sana ina camera nzuri, stereo speaker, fast charging, storage 16gb na sehemu ya memory card, RAM 1, Display. Type, AMOLED

Halafu kitu cha pekee ni camera yake simu ni ya muda sana lakini ina camera ambayo kuna simu za kisasa hazifikii

ONA BAADHI YA PICHA ZA LUMIA

WP_20240903_14_03_03_Pro.jpg
WhatsApp Image 2024-10-08 at 20.30.15_8346d89e.jpg
WhatsApp Image 2024-10-08 at 20.30.14_09869f8c.jpg
WhatsApp Image 2024-10-08 at 20.30.15_4f36ce0c.jpg
WP_20240708_18_04_27_Pro.jpg
 
Simu za windows, zilifungiwa lini na nani?
With the diminishing interest and application development for the platform, Microsoft discontinued active development of Windows 10 Mobile in 2017, and the platform was declared end of life on January 14, 2020.
 
Habari zenu wana JamiiForums,

Niende kwenye mada moja kwa moja, unajua nimekuwa nikijiuliza hivi ni kwanini walifungia window phone?

Nakumbuka kuna kipindi nipo shule kuna ndugu yangu mmoja alikuwa na nokia lumia ilikuwa ni window phone enzi hizo zinasupport kila kitu aise alikuwa anasumbua kinoma mtaani pale
ilikuwa ni moja ya simu nilikuwa naitamani sana.

Lakini nilipokuja Zanzibar kuna mitumba ya vitu vingi sana kama simu, radio za aina mbali mbali, magari na kadhalika

Kuna chimbo nilibahatika kuona window phones nyingi wanaziuza hapo nilichukua moja inaitwa microsoft lumia

Sio siri simu ni ya muda sana lakini ipo bomba sana ina camera nzuri, stereo speaker, fast charging, storage 16gb na sehemu ya memory card, RAM 1, Display. Type, AMOLED

Halafu kitu cha pekee ni camera yake simu ni ya muda sana lakini ina camera ambayo kuna simu za kisasa hazifikii

ONA BAADHI YA PICHA ZA LUMIA

View attachment 3119198View attachment 3119208View attachment 3119209View attachment 3119210View attachment 3119212
Hapana hawakuzifungia ila zilikuwa zinawatia hasara maana zilishindwa kushindana na android na apple ambazo zilikuwa zimetake over.
Lakini innovation yake flat interface ilikuwa ahead of time.
 
Hapana hawakuzifungia ila zilikuwa zinawatia hasara maana zilishindwa kushindana na android na apple ambazo zilikuwa zimetake over.
Lakini innovation yake flat interface ilikuwa ahead of time.
kabisa kaka unajua hii window phone natumia jamiiforum na kuperuzi tu kwenye browser lakini naipenda kuliko maelezo
wp_ss_20240927_0003.png
 
Back
Top Bottom