Kitangiri15
JF-Expert Member
- Apr 30, 2015
- 338
- 702
- Thread starter
- #21
Aaah aaaah !!!!!!
naam.
basi sasa utaendelea kukutana na simu za kustop mpaka betry.
naam.
basi sasa utaendelea kukutana na simu za kustop mpaka betry.
Yangu ni techno pia imegoma kwny Google mail sisomi tena email via my Simu!Tafadhali nami naombeni msaada wakuu wanguWana teknolojia hamjambo?
Naomba msaada wa ufumbuzi wa simu yangu ya Tecno. Imekuwa inasumbua Sana na Kila nikitaka kutumia Kuna ujumbe unatokea kwenye screen (Google play has stopped) hata Niki click "setting" haifunguki.
Naomba kuwasilisha.
Hamia Xiaomi kitu cha Sñapdragon hachana na hizo mtk za kiboyasame with me, hii tecno camon11 inazingua hatari, ili crash os nikawarudishia tecno wakaweka os nyingine hapo ndipo shughuli ilipoanzia os sio stable tena, ina crash google, ina crash na kingine chochote itakacho kiona yenyewe. Siku nyingine ina stop hadi UI, hapo inaanza kuji restart... Nimesha factory reset zaidi ya mara 6, na haikubadi ku install updates anazotuma develover, hapa tunafanyeje wakuu mawazo yenu plz
But kuna wachina wazuri wazuri kina xiaomi etchizi simu ni mchicha mwiba jamani,mbona hamtuelewi??
yaani kweli unaandaa laki 250k unaenda kununia tecno jamani
Wachinã wazuri wazuri si wapo!!!Kwa hiyo wewe huwa unanunua simu gani kiongozi?
Wachina wazuri? Mfano wapi?Wachinã wazuri wazuri si wapo!!!
Si lazima uwang'ang'anie wachovu tecno ,infinix na itel.
Pole! Kumbe wagonjwa tupo wengiYangu ni techno pia imegoma kwny Google mail sisomi tena email via my Simu!Tafadhali nami naombeni msaada wakuu wangu
Ngonja wataalamu wajeMimi simu yangu nikimpigia mtu inaandika hivi *conditional call forwarding active*
Hii ina maana gani? Kuulizia si ujinga jamaniView attachment 1505847
Kuna kina Xiaomi,Realme,oppo,Lenovo etcWachina wazuri? Mfano wapi?
Ndugu yangu huku madongo kuinuka ninapoishi hizo brand naishia kuziona kwenye magazeti tuKuna kina Xiaomi,Realme,oppo,Lenovo etc
Nenda call setting, cancel all call forwarding, utakuwa umemaliza kazi, utakuwa unatumia mtandao wa vodacomMimi simu yangu nikimpigia mtu inaandika hivi *conditional call forwarding active*
Hii ina maana gani? Kuulizia si ujinga jamaniView attachment 1505847
HahahahaYajayo yanafurahisha, Upo tayari?
AiseeNilijua tu huu uzi watu wasipokandia Tecno sijui 😂. Yangu nlipoona inasumbua sumbua nikaamua kuiflash kumbe kuiflash ndo nimeiua mazima, nkaipasua nkampa mtoto achezee kama kigari.
Inshallah I!!Chukua Infinix wako vizuri .
infinix,itel na tecno ni simu moja ile ile wametofautisha majina tu.Chukua Infinix wako vizuri .