Simu yako inaonekanaje mbele ya kioo?

Simu yako inaonekanaje mbele ya kioo?

IMG_6074.png
 
samsung nao wameanza kukabwa kutumia haya ma app ya google caller na sms app[emoji16][emoji16][emoji16].

ndio wakati wa kuwekeza nguvu ios,android wanapenda ujinga sana.
Nimesoma habari kuwa samsung ataitupa android ahamie fuchsia OS siku za usoni lakini miaka kadhaa ijayo. Fuchsia ni OS nyingine ya google ambayo itaweza kutunika kwenye vifaa mbalimbali kama simu, tv, tablet, pc na mengine.
Imekuwa developed kuanzia chini haitumii kernel ya linux kama ilivyo kwa android. Nimesoma kuwa samsung naye kashiriki kwenye uundaji wake hivyo huenda akawa wa kwanza kwanxa kuitumia
 
Nimesoma habari kuwa samsung ataitupa android ahamie fuchsia OS siku za usoni lakini miaka kadhaa ijayo. Fuchsia ni OS nyingine ya google ambayo itaweza kutunika kwenye vifaa mbalimbali kama simu, tv, tablet, pc na mengine.
Imekuwa developed kuanzia chini haitumii kernel ya linux kama ilivyo kwa android. Nimesoma kuwa samsung naye kashiriki kwenye uundaji wake hivyo huenda akawa wa kwanza kwanxa kuitumia

na ndiye mdau mkubwa sana kwenye OS ya android,ameibeba sana.
 
Watu tunaipenda kwasababu ya simplicity tu na ni kati ya app ya sms inayopendwa na wengi.
There is beauty in simplicity.
View attachment 2055976

aaah wapi.

simplicity na design vinatakiwa viwe sambamba,hapo ndipo apple anapiga hawa wajinga wajinga.

hata font kashindwa kuweka yenye mvuto,font imekaa kama mwandiko wa mkono wa kushoto.
acha hii crown tumpe samsung,japo anazunguka sana akipita kwenye UI zake huko.View attachment 2056048
 
aaah wapi.

simplicity na design vinatakiwa viwe sambamba,hapo ndipo apple anapiga hawa wajinga wajinga.

hata font kashindwa kuweka yenye mvuto,font imekaa kama mwandiko wa mkono wa kushoto.
Apple yah kwa simplicity na design hana mpinzani. App za apple ni nzuri hata za thirdparty ni nzuri sana
 
Simple and clear
 

Attachments

  • Screenshot_2023-01-09-09-03-49-094_com.miui.home.jpg
    Screenshot_2023-01-09-09-03-49-094_com.miui.home.jpg
    56.2 KB · Views: 8
Back
Top Bottom