Simu ya wife

Kwa nini unapekuwa vitu visivyo kuhusu, maisha ya ndoa ni ya kuaminiana, hayo mengine mnatafuta matatizo tu hapa duniani. Wengi tumekuta wake zetu sio bikra watu wameisha pita kinachokuaminisha kuwa ukioa basi ile njia inakuwa yako peke yako kitu gani.
 
mpige kbooty huyo ni kahaba hana mpango/tengeneza njia mpya bro! jivue gamba huyo ni mchangu tu! aikenyi saana
 
boresha mapenzi labda humpatii anachopenda....ndo maaana anachepuka.Mjulishe kuwa umeona hiyo number usimpe nafasi ajieleze.cha msingi msamehe songa mbele na life
 

Yani kweli keo anategemea kua na mwanaume ka wewe ambaye umeshindwa kufanya maamuzi katika jambo ka hilo, anajuta kuolewa na mvulana ka wewe ndo mana amekutafutia mwenzako.

Inaonekana hata moto ukitokea kwako utakuja kuomba ushauri kwanza huku.
 
he he he, afu namba yangu nimesajili Hamis A. Juma.


Hawa mbwiga wanasumbua sana siku hizi mkuu, ndio maana hawaolewi, list ya wagongaji imekuwa kubwa kuliko list ya waoaji, mpaka mwanaume anatoa mahari anaoa, anakuhudumia kwa kila kitu bado unaleta ubazazi, lol!
 
Hawa mbwiga wanasumbua sana siku hizi mkuu, ndio maana hawaolewi, list ya wagongaji imekuwa kubwa kuliko list ya waoaji, mpaka mwanaume anatoa mahari anaoa, anakuhudumia kwa kila kitu bado unaleta ubazazi, lol!

!
!
hawa kenge ni kipigo mpaka wamwelewe Ali Kiba na Jide.....maana Mavoko havumiliki, haiwezi kuwa siri ya ndani
 
mapenzi ya sasa hivi ruksa kushikana ila sio kushikiana simu
fid q
 
kuna mshenzi mmoja, yeye ckumgundua kua ana mtu, ila alikua anaonesha dharau na kushindwa kutofautisha kati ya ndoa na mahsiano ya kishenzi
nliperemba na kmvutia kasi kw miezi kama 6 ivi, kila nkimvumilia kumueka sawa anazidisha, anafkiria kua nashindwa kutake action.
aiseee siku nlipomuamulia nlimtia mikonono, nlimshikisha adabu
kudadeki hansahau maisha yke, mana nlimsagasaga asirudie upuuzi wake ata kwa mwanaume mwingine,
nmemuachia kovu la maisha ili akumbuke kua m.mme c wakuchezea, akichoka na m.mme mwambie aafu sepa, sio kumfanyia vitimbi, utaumizwaaa
 

mwambie kwa upole akupe maelezo pole ila mkuu kuanzia leo jua unachokitafta kwenye sim ya mtu alwayz kipo so...?
 

sio vizur ungempuuzia aendelee na maisha yake mkuu
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…