Simu ya kiganjani

Simu ya kiganjani

Hbr yenu wakuu
Nawaalika tujadili kwa pamoja kama ni vyema Mke na mume kukaguana simu.
Nijuavyo Mimi simu ya kiganjani ni Mali binafsi kwa matumizi binafsi na haipaswi kutazamwa na mtu asiye mmliki pasi ya ruhusa ya mmiliki.
Wewe unasemaje?
Issue ni pale unapoona mwenza amehisha mapenzi kwenye simu. Mtu yupo bize na simu hadi inaboa, so hapo lazima mtu atakuwa na doubts, na kujaribu kufanya "uchunguzi yakinifu".



Sent from my iPhone using JamiiForums app
 
Back
Top Bottom