Payer
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 824
- 189
- Thread starter
- #21
Kwa ndoa za siku hizi zimekuwa na michepuko ming
Watu sii waaminifu...tabia za zimebadilika kila mtu anapenda usiri kwa maana sii waamifu
Na hili ni tatizo ule upendo na kusema tuu mwili mmoja kwa ndoa nyingi ni uongo
Wanawake wa Leo wanasema ahadi ile ni maneno tuu na wengine hutamka bila kuelewa wakisemacho