Payer
JF-Expert Member
- May 10, 2014
- 824
- 189
Tanzania unakuta mtu yupo ktk ndoa ana michepuko mitano kati ya hiyo miwili nayo ipo ktk ndoa ukija fuatilia michepuko ya hao wengine pia utaona bora kusiwe na ndoa maana utulivu ni sifuri.Ukitaka pressure basi kua mpekuzi
Tanzania unakuta mtu yupo ktk ndoa ana michepuko mitano kati ya hiyo miwili nayo ipo ktk ndoa ukija fuatilia michepuko ya hao wengine pia utaona bora kusiwe na ndoa maana utulivu ni sifuri.
Aaaaah, uhuru gani mkuu? Ni visiwani na bara ua?
Nipe linki nifuatilie plz. Nataka jua mawazo ya wapendwa ktk hili
Kwa Mume na Mke nafikiri ni bora zaidi muwe na makubaliano tokea awali sababu ni mmeshakuwa kitu kimoja sioni sababu ya kufichana.
Lakini kwa wale walio nje ya ndoa(wakiwemo michepuko,wapenzi nk) kupekuana ni kutafutiana ugonjwa wa moyo.
Ila ukumbuke pia kupekua kitu cha mtu bila ya idhini yake kwa kweli si heshima
Hbr yenu wakuu
Nawaalika tujadili kwa pamoja kama ni vyema Mke na mume kukaguana simu.
Nijuavyo Mimi simu ya kiganjani ni Mali binafsi kwa matumizi binafsi na haipaswi kutazamwa na mtu asiye mmliki pasi ya ruhusa ya mmiliki.
Wewe unasemaje?
Umenena mkuuSio ivo, anataka Uhuru gani? Anapaswa kuomba ruhusa kuitazama simu yako. Like "samahani Mme/Mke wangu, naweza tazama au tumia simu yako kwa muda huu"?
Kwa Mume na Mke nafikiri ni bora zaidi muwe na makubaliano tokea awali sababu ni mmeshakuwa kitu kimoja sioni sababu ya kufichana.
Lakini kwa wale walio nje ya ndoa(wakiwemo michepuko,wapenzi nk) kupekuana ni kutafutiana ugonjwa wa moyo.
Ila ukumbuke pia kupekua kitu cha mtu bila ya idhini yake kwa kweli si heshima