Simu Nokia haisomi mtandao

Twin_Kids

JF-Expert Member
Feb 25, 2016
3,065
4,621
Salama mafundi simu.

Nokia yangu kama ilivyo kwenye picha,haisomi laini yoyote.

IMG_20240108_211414_484.jpg
 
Kama inavyosema iko network locked, anayeweza ku-unlock kwa kawaida ni network provider aliyeiuza, hiyo tena ni Windows Phone simu zilizoachwa kutengenezwa miaka zaidi ya 6 iliyopita so chance za kupata fundi ni karibia zero na hata provider mwenyewe anaweza akawa hana tena uwezo wa kuunlock.
 
Kama inavyosema iko network locked, anayeweza ku-unlock kwa kawaida ni network provider aliyeiuza, hiyo tena ni Windows Phone simu zilizoachwa kutengenezwa miaka zaidi ya 6 iliyopita so chance za kupata fundi ni karibia zero na hata provider mwenyewe anaweza akawa hana tena uwezo wa kuunlock.
Duh! Unamaanisha huenda ikawa tu pambo sasa!!!
 
Nahisi hii n simu ya kulipia then ukaifanyia manuva ili usilipie... Ukala bata weeeeeeeee...
Kosa lako ukaja kuirestore... Baaaaaaaaasi umeisha... If that's the case nicheki I can solve it
Simu ilitoka UK mkuu.
Nimeisha kwani ina sh ngapi kiasi kwamba isipofanya kazi maisha hayaendi? Simu ya kutuma na kupokea sms, simu ya kupiga na kupokea, nimeisha vipi?! Mbona haifanyi kazi na natumia nyingine?
Sitegemei hiyo mkuu. Ikifanya kazi ntaitumia. Na isipofanya, poa.
 
Niuzie hiyo simu mkuu
Hahahahaha weeee, bado nataka fundi kwanza nikatambe nayo. Ntakuuzia ikiwa inafanya kazi. Ila kama upo serious zipo 4 zote the same issue.
Zilitoka Zanzibar kwenye ile minada ya No test . Hizo nne zote zinaonyesha hilo tatizo. Zilizokuwa poa ziliuzika vizuri. Ila kama upo mjini wewe hapana. Vijijini ndo soko lipo vizuri
 
Back
Top Bottom