TheChoji
JF-Expert Member
- Apr 14, 2009
- 6,710
- 20,717
Watu wengi tumekua tukidharau au kubeza simu zinazotoka China. Mtu unapokuwa na simu ya Mchina basi watu watakutania na kukuona umenunua simu mbovu na ya bei rahisi. Lakini katika siku za hivi karibuni zimeibuka simu kali na zenye mvuto wa kipekee kutoka China. Zifuatazo ni baadhi ya simu kali na zakuvutia za Kichina..
1. Oppo Find 5:
Ni kati ya simu kali kabisa kutoka China. Ina memory ya 2GB RAM 16Gb Internal, Camera 13mp, kioo inch 5 (441 ppi) na processor ya 1.5 GHz.
2. Huawei Ascend P6
Hii nayo ni kati ya simu matata kutoka kampuni ya Huawei. Hadi hivi karibuni, ilikuwa inashikilia rekodi ya kuwa simu nyembamba kuliko zote duniani ikiwa na wembamba wa milimita 6.2 tu! Ina kioo cha inchi 4.7 (312ppi), memory 2Gb RAM, 16/32 Gb Internal, Camera 8mp, na processor ya 1.5GHz.
3. Lenovo K900
Hiki ni kitu kingine kikali kutoka kampuni ya Lenovo. Simu hii imetengenezwa kwa material ya aluminium ina processor ya Intel Atom 2Ghz, ina kioo cha inchi 5.5 (401 ppi), memory 2Gb RAM 16/32 Gb Internal, Camera 13mp, na ni kati ya simu nyembamba sana ikiwa na wembamba wa milimita 6.9 tu!
4. Meizu Mx3
Ni moja kati ya simu za maana kutoka China. Simu hii ina kioo cha inchi 5.1 (412ppi), memory ya hadi 128Gb Internal, 2Gb RAM, 8mp Camera, na 1.6Ghz Processor.
5. ZTE Nubia Z5S
Hii ni simu kali kutoka kampuni kongwe ya ZTE. Simu hii ina kioo cha inchi 5 (441ppi), Internal memory 32Gb, RAM 2Gb, huku ikisukumwa na processor ya 2.3GHz. Pia ina Camera ya 13mp.
6. Gionee Elife s5.5
Hii ndio simu inayoaminika kuwa nyembamba kuliko zote kuwahi kutokea duniani hadi sasa. Simu hii ina wembamba wa milimita 5.5 tu, huku ikiwa na kioo cha inchi 5 (441ppi), Internal memory 16gb, RAM 2Gb, Camera 13mp, na processor ya 1.7GHz.
7. Doogee Turbo DG2014
Hii ni simu nyinginne ya kipekee kutoka China. Simu hii ya laini mbili ina processor ya 1.3GHz, RAM 1Gb na 8Gb Internal memory. Pia ina kioo cha inchi 5 na Camera ya 13mp. Simu hii pia ni nyembamba sana (6.3 milimita) na ina mfuniko wenye matundu matundu ambao.. nahisi kama nimeuona mahali hivi.. :smiling:
Na kadhalika.
Kama kuna nyingine ongezea na wewe
1. Oppo Find 5:
Ni kati ya simu kali kabisa kutoka China. Ina memory ya 2GB RAM 16Gb Internal, Camera 13mp, kioo inch 5 (441 ppi) na processor ya 1.5 GHz.
2. Huawei Ascend P6
Hii nayo ni kati ya simu matata kutoka kampuni ya Huawei. Hadi hivi karibuni, ilikuwa inashikilia rekodi ya kuwa simu nyembamba kuliko zote duniani ikiwa na wembamba wa milimita 6.2 tu! Ina kioo cha inchi 4.7 (312ppi), memory 2Gb RAM, 16/32 Gb Internal, Camera 8mp, na processor ya 1.5GHz.
3. Lenovo K900
Hiki ni kitu kingine kikali kutoka kampuni ya Lenovo. Simu hii imetengenezwa kwa material ya aluminium ina processor ya Intel Atom 2Ghz, ina kioo cha inchi 5.5 (401 ppi), memory 2Gb RAM 16/32 Gb Internal, Camera 13mp, na ni kati ya simu nyembamba sana ikiwa na wembamba wa milimita 6.9 tu!
4. Meizu Mx3
Ni moja kati ya simu za maana kutoka China. Simu hii ina kioo cha inchi 5.1 (412ppi), memory ya hadi 128Gb Internal, 2Gb RAM, 8mp Camera, na 1.6Ghz Processor.
5. ZTE Nubia Z5S
Hii ni simu kali kutoka kampuni kongwe ya ZTE. Simu hii ina kioo cha inchi 5 (441ppi), Internal memory 32Gb, RAM 2Gb, huku ikisukumwa na processor ya 2.3GHz. Pia ina Camera ya 13mp.
6. Gionee Elife s5.5
Hii ndio simu inayoaminika kuwa nyembamba kuliko zote kuwahi kutokea duniani hadi sasa. Simu hii ina wembamba wa milimita 5.5 tu, huku ikiwa na kioo cha inchi 5 (441ppi), Internal memory 16gb, RAM 2Gb, Camera 13mp, na processor ya 1.7GHz.
7. Doogee Turbo DG2014
Hii ni simu nyinginne ya kipekee kutoka China. Simu hii ya laini mbili ina processor ya 1.3GHz, RAM 1Gb na 8Gb Internal memory. Pia ina kioo cha inchi 5 na Camera ya 13mp. Simu hii pia ni nyembamba sana (6.3 milimita) na ina mfuniko wenye matundu matundu ambao.. nahisi kama nimeuona mahali hivi.. :smiling:
Na kadhalika.
Kama kuna nyingine ongezea na wewe