Baraker_88
Member
- Nov 7, 2021
- 35
- 88
Habari wadau, nataka kumnunulia mtu simu janja, mwenye uzoefu wa simu janja nzuri kuanzia uwezo mzuri wa camera, ukubw RAM/ROM, na kukaa na chaji naomba anishauri simu ipi naweza kununua!
Isiwe Tecno/Infinix
Budget yangu about Tshs 500,000/=
Naomba kuwasilisha
Isiwe Tecno/Infinix
Budget yangu about Tshs 500,000/=
Naomba kuwasilisha