IBRA wa PILI
JF-Expert Member
- Oct 12, 2017
- 1,448
- 2,289
Habarini ndugu asubuhi nimeamka nikachonga na mshkaji mmoja anailekebishie PC yangu kioo kimezngua kidogo akasema nimtumie picha ya laptop nikachukua simu nakufungua camera ikawa ipo kwenye flash inawaka nikapiga picha ikakubali nika skip camera ajabu bado flash ipo on nikafanya ujanja pale olaa nika restart ndio kuzima sasa flash ipo off.
Ukiwasha camera airespond ata tochi siwezi washa tatizo nini ndugu zanguni wenye uelewa simu ni ((Tecno phantom six plus)) kwa sasa nimeamisha majeshi kwanza kwa Nokia nikifanya mchakato wa kushughulikia hii wakuu msaada wenu apo kwenye flash light ndio papo ivo sjui kama screen short imeonekana vizuri Chief-Mkwawa
Ukiwasha camera airespond ata tochi siwezi washa tatizo nini ndugu zanguni wenye uelewa simu ni ((Tecno phantom six plus)) kwa sasa nimeamisha majeshi kwanza kwa Nokia nikifanya mchakato wa kushughulikia hii wakuu msaada wenu apo kwenye flash light ndio papo ivo sjui kama screen short imeonekana vizuri Chief-Mkwawa