simu iliyoibiwa

simu iliyoibiwa

Sim yangu ukimpigia mtu hata ukipigiwa haipatikani, ila nimeambiwa inatakiwa niiflash, sasa swali, je? Siwezi kuiflash mimi mwenyewe, maana laptop ninayo, cd yake ya software ninayo, na nina full time internet access. Naomba msaada kuhusu hilo, au nikagawe riziki kwa wananchi wenzangu, kwa gharama ya kuflash? naomba msaada wadau.

Jaribu ku-formart kwanza, small format *#7370# secret code 12345. Big format, zima simu yako shikilia green key,nyota,namba 3, washa simu huku umeshilia sehemu hizo, tafadhali usiachie sehemu hizo nne hadi simu iwe imewaka sawasawa. Hakikisha battery yako iko full unapofanya big format. kuhusu flash http://tinyurl.com/244zusl YOU DO THIS AT YOUR OWN RISK.
 
Wakuu nisaidieni nifanyeje kasimu kangu sumsung sgh d780 nakapenda sana, nikarinde na vibaka, na hali ya uchumi ilivyo ngumu. mh. msaada wakuu.
 
BinMgen

Jaribu ku-formart kwanza, small format *#7370# secret code 12345. Big format, zima simu yako shikilia green key,nyota,namba 3, washa simu huku umeshilia sehemu hizo, tafadhali usiachie sehemu hizo nne hadi simu iwe imewaka sawasawa. Hakikisha battery yako iko full unapofanya big format. kuhusu flash http://tinyurl.com/244zusl YOU DO THIS AT YOUR OWN RISK.
Kwanza backup phonebook yako. vilevile hujasema aina ya sim maana kila make ina fomula yake. kama ni latest nokia hakikisha unajua firmware version yake maana uki downgrade inakwenda harijojo. na ikiflash halafu ikakwamia katikati hutaweza kuiamsha tena kwa hiyo usb mpaka fbus cable.
 
BinMgen


Kwanza backup phonebook yako. vilevile hujasema aina ya sim maana kila make ina fomula yake. kama ni latest nokia hakikisha unajua firmware version yake maana uki downgrade inakwenda harijojo. na ikiflash halafu ikakwamia katikati hutaweza kuiamsha tena kwa hiyo usb mpaka fbus cable.
Kuhusu Format huo ni utaratibu kwa symbian phone aina zote.
Kuhusu Flash link nilio weka imejitosheleza.
 
Sim yangu ukimpigia mtu hata ukipigiwa haipatikani, ila nimeambiwa inatakiwa niiflash, sasa swali, je? Siwezi kuiflash mimi mwenyewe, maana laptop ninayo, cd yake ya software ninayo, na nina full time internet access. Naomba msaada kuhusu hilo, au nikagawe riziki kwa wananchi wenzangu, kwa gharama ya kuflash? naomba msaada wadau.

kama ni bb unaweza kuiflash mwenyewe kama os file unalo ni simple kuinstall
 
@binmgen

nokia kwenye kuformat kwa code na mkono zinatofautiana mkuu kama alivyosema calvin yupo sahihi pia ni vyema tukaelimishana vyema
 
@binmgen

nokia kwenye kuformat kwa code na mkono zinatofautiana mkuu kama alivyosema calvin yupo sahihi pia ni vyema tukaelimishana vyema
Sijabisha alichosema Calvin!, nilichofanya ni kuweka sawa baada ya kunikumbusha, utaratibu huo unatumika kwa all nokia symbian phone. Kama nimekosea basi hakuna anaejuwa yote, lakini nahisi bado nipo sahihi hadi pale nitakapokoselewa.
 
kama ni bb unaweza kuiflash mwenyewe kama os file unalo ni simple kuinstall

Mkuu hapo kwenye red sijakuelewa maana umetumia lugha ya kitaalamu zaidi, os file ndio ile cd inayokuja na simu au ni program gani hiyo mkuu? maana ile cd inayokuja na simu nimeinstall kwenye pc yangu na huwa naiupdate online. je ni hiyo ndio unaizungumzia naweza kutumia kuiflash mimi mwenyewe?
 
Mkuu hapo kwenye red sijakuelewa maana umetumia lugha ya kitaalamu zaidi, os file ndio ile cd inayokuja na simu au ni program gani hiyo mkuu? maana ile cd inayokuja na simu nimeinstall kwenye pc yangu na huwa naiupdate online. je ni hiyo ndio unaizungumzia naweza kutumia kuiflash mimi mwenyewe?

na manisha system file zima la cm mkuu
 
Sijabisha alichosema Calvin!, nilichofanya ni kuweka sawa baada ya kunikumbusha, utaratibu huo unatumika kwa all nokia symbian phone. Kama nimekosea basi hakuna anaejuwa yote, lakini nahisi bado nipo sahihi hadi pale nitakapokoselewa.

tupo pamoja mkuu ila sio symbian fone zote zinazokubali mifumo hyo mkuu
 
Kama unahitaji kuflash simu yako mwenyewe kwanza unatakiwa ujue aina ya simu yako.pili unatakiwa uwena flash box yake mf.HWK.INFINITY e.t.c ila kama hauna hivyo vifaa unaweza uka jaribu ku fomat mf. Samsung unatakiwa uwasha simu yako kisha uingize code hizi *2767*2878# baada ya hapo simu itakuwa imepona. Ila kama ni simu ya kichina unatakiwa uende setting kisha restore factor setting.simu itakuomba uingize code,ingiza 1122 kisha ok. Kwa ushauri zaidi tuma tuwasiliane via zedy2004@yahoo.co.uk
 
na manisha system file zima la cm mkuu

kama linapatikana online ebu tujuzane hiyo web na kuna free download? Kama inawezekana nijurishe tafadhali, other niwapelekee vijana wa mjini nao wapate kitu kidogo, ila ningependa zaidi kama nitapata mwenyewe hizo software ili niweze kuiflash mwenyewe, maana hapa jf mimi kwangu ni zaidi ya jukwaa, kwani kuna elimu kubwa tunaipata hapa kuliko wengi wanavyoweza kufikiri. Asante.
 
kama linapatikana online ebu tujuzane hiyo web na kuna free download? Kama inawezekana nijurishe tafadhali, other niwapelekee vijana wa mjini nao wapate kitu kidogo, ila ningependa zaidi kama nitapata mwenyewe hizo software ili niweze kuiflash mwenyewe, maana hapa jf mimi kwangu ni zaidi ya jukwaa, kwani kuna elimu kubwa tunaipata hapa kuliko wengi wanavyoweza kufikiri. Asante.

mkuu kama upo dar nitafute nikupe free ni pm
 
Kama unahitaji kuflash simu yako mwenyewe kwanza unatakiwa ujue aina ya simu yako.pili unatakiwa uwena flash box yake mf.HWK.INFINITY e.t.c ila kama hauna hivyo vifaa unaweza uka jaribu ku fomat mf. Samsung unatakiwa uwasha simu yako kisha uingize code hizi *2767*2878# baada ya hapo simu itakuwa imepona. Ila kama ni simu ya kichina unatakiwa uende setting kisha restore factor setting.simu itakuomba uingize code,ingiza 1122 kisha ok. Kwa ushauri zaidi tuma tuwasiliane via zedy2004@yahoo.co.uk

mkuu nyongeza kidogo kwa factory code za kichina kwani zipo nyingi ikigoma hyo ya 1122, jaribu hii 1234,0000,1111,3344 hizi ni default user code za cm za kchina zikigoma hzi ujue mteja kaweka zake nilishatoe tena ila kwa msaada kwa wapya.

kuhusu samsung *2767*2878# hii custom e2p reset
kwa full E2p reset ni *2767*3855# hii itafuta kila kitu ulichoingiza ww na cm itarudi kama ivyotoka kiwandani itakuwaa bik...

Angalizo mara zote utakapoingiza hizi code hakikisha cm yako ipo fullchargi pls kuepuka cm yako kuzima kwani inakuwa kwenye operation ya nguvu na ukishaingiza hzo code usiguse cm iache mpaka imalize itajiwasha yenyewe hope imeeleweka
 
jamani best ways za kuprotect simu kama itaibiwa ni hizi hapa

kwa wale wenye simu za n series na e series download ant theft kama f secure then eka namba ya mtu unaemtrust ie/ mamako au ndugu zako katika hio f secure ikitokea mtu ameiiba basi akichange tu line utapata msg kwenye ile no uloeka namba ya aloiba simu hii ant theft yapatikana store.ovi.com

njia nyengine ya kuprotect simu ni kwa kutumia gps hapa unakua na simu yenye gps na map kama google map. Then una mu add rafiki yako kwenye map yako munakua munaonana nyendo zenu, mfano rafki yako akisafiri through map yako utamuona hii husaidia pia simu ikiibiwa. Lakini husaidia kwa simu kama blackberry na smartphone ambazo hukaa automatic online java phone husaidia kwa small extent. Kudownload google map nenda google.com then click more

njia hizi zitafanya kazi ikiwa simu haitaflashiwa au ku update software version enjooy
 
Kuna njia rahisi na simple ya kuprotect na kuui wezi!!!

ni program inatwa phone guard...

ukiinstall hii unajaza namba tatu za emergence mfano ya rafiki wa karibu na ndugu.

so simu ikiibiwa na kuwekwa line nyingine ambayo si yako uliyoweka wewe wakati wa kuinstalll basi kuna mesage itajituma kwenda namba tatu ulizozijazaga kipindi unainstall program

msg itasema hivi ""simu namba hii xxx ambayo ni yako imeibiwa na sasinatumika na mwenye namba hiii xxxx ambayo ya mwizi pamoja na imei yake na kama simu yako ilikuwa na GPS basi itaonyesha na sehemu ambayo inatumika,

pia itakuwa inatuma msg za siri kila baada ya muda ambao ulipanga wewe kukuonyesha msg na namba anazotumia kuwasiliana nazo mwizi wako so ni rahisi kumtrace.

pia huwezi kui unstall hiyo program hadi uweke code, na pia huwa inajificha huioni kwenye task manager na ina auto run kila simu ikiwaka.

kama simu haikuwa na hela msg itajituma akiweka pesa tu.

THE ONLY problem ni kwamba akii FORMAT DAHAAAAAAAAAA

GAME OVER!!!

Ila bado una IMEI namba kama ulisajiri simu yako unaweza kufungua kesi na kufatilia police wakupe barua na ukienda kwa ofisi za mtandao utapewa log ya mtu anayetumia simu yako na utamtrace!!!

pia unaweza ukaamua kuioblock so mtumiaji kila akiweka line ina andika restricted sim card!!

hapa tatizo ni kwamba akiweka line ya mtandao mwingine GAME OVER

labda kama ulisajiri kwa mitandao yote!!!!

>>nimesahau jina la ile program ila nitaiweka kwenye sehemu ya download na nitaianzishia thread if god wishes<<

cheers
 
Kuna njia rahisi na simple ya kuprotect na kuui wezi!!!

ni program inatwa phone guard...

ukiinstall hii unajaza namba tatu za emergence mfano ya rafiki wa karibu na ndugu.

so simu ikiibiwa na kuwekwa line nyingine ambayo si yako uliyoweka wewe wakati wa kuinstalll basi kuna mesage itajituma kwenda namba tatu ulizozijazaga kipindi unainstall program

msg itasema hivi ""simu namba hii xxx ambayo ni yako imeibiwa na sasinatumika na mwenye namba hiii xxxx ambayo ya mwizi pamoja na imei yake na kama simu yako ilikuwa na GPS basi itaonyesha na sehemu ambayo inatumika,

pia itakuwa inatuma msg za siri kila baada ya muda ambao ulipanga wewe kukuonyesha msg na namba anazotumia kuwasiliana nazo mwizi wako so ni rahisi kumtrace.

pia huwezi kui unstall hiyo program hadi uweke code, na pia huwa inajificha huioni kwenye task manager na ina auto run kila simu ikiwaka.

kama simu haikuwa na hela msg itajituma akiweka pesa tu.

THE ONLY problem ni kwamba akii FORMAT DAHAAAAAAAAAA

GAME OVER!!!

Ila bado una IMEI namba kama ulisajiri simu yako unaweza kufungua kesi na kufatilia police wakupe barua na ukienda kwa ofisi za mtandao utapewa log ya mtu anayetumia simu yako na utamtrace!!!

pia unaweza ukaamua kuioblock so mtumiaji kila akiweka line ina andika restricted sim card!!

hapa tatizo ni kwamba akiweka line ya mtandao mwingine GAME OVER

labda kama ulisajiri kwa mitandao yote!!!!

>>nimesahau jina la ile program ila nitaiweka kwenye sehemu ya download na nitaianzishia thread if god wishes<<

cheers

hapo mkuu umeisahau hii Program inayoitwa Netqin ambayo inafanya hizo kaz bla tatzo?
 
Back
Top Bottom