Ryzen
JF-Expert Member
- Dec 6, 2012
- 7,305
- 8,655
Habari wanabodi,
Niende moja kwa moja kwenye mada, nimenunua simu (Pixel 6 pro) kutoka ebay.. wakati nanunua muuzaji alidai kwamba simu ni Open Box na haijawahi kutumika na ni UNLOCKED.
Simu baada ya kunifikia kweli ilikuwa inaonekana ni mpya haina shida, ila baada ya kuweka line ikatoa allert kwamba 'sim card not supported, contact at&t if they can unlock this device' baada ya kucheck na at&t wakanipa message 'We can't unlock this device because we can’t locate it in our database of devices sold by AT&T.'.. nikaenda imei24.com na kuingiza IMEI ya simu ndipo nikagundua imei ni Blacklisted!
Mpaka sasa seller hajatoa suluhisho lolote, na overall simu ni nzuri saana, issue ni hiyo tu kutosoma line.
Sasa niwaulize wataalam kuna namna ya kufix hii issue? Sina shida sana na blacklist yao ila nahitaji line yangu isome. Binafsi nina options 2.
1. Kurudisha simu kwa seller ila nitapata hasara ya shipping.. karibu 500K.
2. Kujaribu kucheki na wataalam kama wanaweza kufix hili tatizo ama ikiwezekana kubadili IMEI number.
Option ipi ni nzuri zaidi kwa nyinyi wazoefu?
CC: Chief-Mkwawa @mikhayiyl Reuben Challe City Rider Bavaria
Niende moja kwa moja kwenye mada, nimenunua simu (Pixel 6 pro) kutoka ebay.. wakati nanunua muuzaji alidai kwamba simu ni Open Box na haijawahi kutumika na ni UNLOCKED.
Simu baada ya kunifikia kweli ilikuwa inaonekana ni mpya haina shida, ila baada ya kuweka line ikatoa allert kwamba 'sim card not supported, contact at&t if they can unlock this device' baada ya kucheck na at&t wakanipa message 'We can't unlock this device because we can’t locate it in our database of devices sold by AT&T.'.. nikaenda imei24.com na kuingiza IMEI ya simu ndipo nikagundua imei ni Blacklisted!
Mpaka sasa seller hajatoa suluhisho lolote, na overall simu ni nzuri saana, issue ni hiyo tu kutosoma line.
Sasa niwaulize wataalam kuna namna ya kufix hii issue? Sina shida sana na blacklist yao ila nahitaji line yangu isome. Binafsi nina options 2.
1. Kurudisha simu kwa seller ila nitapata hasara ya shipping.. karibu 500K.
2. Kujaribu kucheki na wataalam kama wanaweza kufix hili tatizo ama ikiwezekana kubadili IMEI number.
Option ipi ni nzuri zaidi kwa nyinyi wazoefu?
CC: Chief-Mkwawa @mikhayiyl Reuben Challe City Rider Bavaria