Bujibuji Simba Nyamaume
JF-Expert Member
- Feb 4, 2009
- 74,884
- 155,865
Nina miezi 8 tu kwenye ndoa lkn nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mm naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.
Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwann niliamua kuolewa na huyu kaka.
Namfanyia visa anichokoze nipate sabb ya kumuacha lkn busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.
Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.
Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasabb hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.
Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lkn inimeshindwa.
Naombeni ushauri nifanyeje???
Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasabb hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.Nina miezi 8 tu kwenye ndoa lkn nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mm naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.
Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwann niliamua kuolewa na huyu kaka.
Namfanyia visa anichokoze nipate sabb ya kumuacha lkn busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.
Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.
Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasabb hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.
Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lkn inimeshindwa.
Naombeni ushauri nifanyeje???
Duuuh...we Dada unashangaza xana, kabla sijakushauri naomba kwanza nikuulize maswali mawili then ukinijibu nitakupa ushauri mzuri badae, swali la kwanza kama uliolewa na mmeo kwa sababu ya pesa zake Je vp siku akifilisika utachukua maamuzi gani ? (because money comes and go) na swali la pili kama hukutaka kuolewa na boyfriend wako umpendae kisa hana hela Je unadhan kwamba huyo boyfriend hatopata pesa maisha yake yote ? Ani ndo uwezo wake wa kutafta pesa umeishia hapo au ulimwonaje ww !Nina miezi 8 tu kwenye ndoa lkn nkmemkinai huyu mwanaume hatari. Akiingia chumbani harufu ya mwili wake (body scent) ikinijia tu mm naingiwa na hasira na hapo hapo moyo unajikunja kabisa.
Usiku nakosa usingizi kabisa na kuanza kujuta kwann niliamua kuolewa na huyu kaka.
Namfanyia visa anichokoze nipate sabb ya kumuacha lkn busara, upole na hekima yake vinanipa wakati mgumu sana.
Kuna wakati naamka usiku naingia chooni na simu nampigia video call boyfriend wangu ili tu nimuone au tuzungumze (japo kwa kunong'ona). Basi tutaangaliana kwa muda hata wa dakika kumi halafu narudi kitandani.
Nampenda toka moyoni boyfriend wangu huyu. Sikutaka kuolewa naye kwasabb hela hana, nikaamua niolewe na huyu mwenye hela.
Sasa moyo wangu haumtaki kabisa. Najilazimisha lkn inimeshindwa.
Naombeni ushauri nifanyeje???
Kumbe wewe ni mwanamke!!
Vipi umepata dawa ya kupunguza kitambi nikupe ila n chungu hakuna mfanoMkataa pema.. pabaya panamuita. Utakosa vyoote uishie kujuta.
Fuata Moyo wako
Sio kila wakati ni kuufwata moyo kuna muda moyo ni kigeugeu mala nyingi follow your heart but don't forget to include your brain in that journey of following your heartDuuh, follow ur heart
Chungu... Sawa je unaharisha?.. Kama unahara hapana.. ila Kama uharishi sawa.Vipi umepata dawa ya kupunguza kitambi nikupe ila n chungu hakuna mfano
Subili na we uje uoe utakuja apa kutusimulia what goes around comes back around mwanaume mwenye akili timam hawezi vumilia kumuangalia mwanaume mwenzie akiwa uchiDaaa nlieahi kuwa na dem mke wamtu alikuwa akiingia kuoga bafuni ananipigia vireocall anaweka dirishani anaoga nikiwa nmwona hadi anamaliza. Akirudi ananipigia video call mmewake akiwa uchi wa mnyama namwona pia
Wala hauharishi unalifaham ua linaitwa star of jerusalemChungu... Sawa je unaharisha?.. Kama unahara hapana.. ila Kama uharishi sawa.
Sijapata dawa