Mag3
Platinum Member
- May 31, 2008
- 13,065
- 22,758
Sasa swali langu kwa Pasco na waandishi wote wa habari popote mliopo Tanzania, je mpo? Kama mpo vipi ile silaha yenu ya kalamu inayodaiwa kuwa kali kuliko bomu, kwa Mwangosi mmesalimu amri?
Last edited by a moderator: