Simply Beautiful

Simply Beautiful

Jamani hiki kiuno cha kitanzania mi lazima nirudi nyumbani tu

attachment.php
 
Siyo mchezo...mtoto amewekwa kope zilizokwenda shule,ana make up ya ukweli na juu ana Malasiyan weaving.

Urembo unachangia mwanamke kuwa mzuri...angekuwa natural kama msitu usingemsifia kiasi hicho.

Ha ha haaaa muumba ashukuriwe . . . . my bro RRONDO ndio kanionesha specifically
 
Last edited by a moderator:
Mkuu walimbwende wa Cape Verde ni hatari aisee...

Wengi wao wana uchotara wa Kiafrika na Kireno/Kihispaniola...

Wanakuwa wanaonekana kama Wahabeshi vile...

Cape Verde nimeiweka rasmi kama sehemu ya kwenda kula vaccation 2016.

Hivi vitu ni hatari sana.
 
cape verde is an hell on earth...dont touch that dial....dah....a complete woman,
 
Siyo mchezo...mtoto amewekwa kope zilizokwenda shule,ana make up ya ukweli na juu ana Malasiyan weaving.

Urembo unachangia mwanamke kuwa mzuri...angekuwa natural kama msitu usingemsifia kiasi hicho.

baada ya kusoma comment yako ndio naona hizo kope,weaving na urembo mwingine....mimi nilipofungua hizo picha niliona nyonga tu....mtanzania kawawakilisha dada zetu vizuri.
 
Cape Verde nimeiweka rasmi kama sehemu ya kwenda kula vaccation 2016.
.

Hapa sasa tunaweza kuongea lugha moja..........KULA BATA.........November ikifika tukumbushane.................
 

Hii nyonga ya kitanzania hata Shakira hata subiri sana...

attachment.php
 
Back
Top Bottom