Simply Beautiful

Simply Beautiful

Dah umeigilizia jibu langu.......aisee ni kweli maana unaweza kuhonga hata roho yako aaaah.....Uzuri wao kama mafuriko huwez kuyazuia kwa mikono

Kumbuka kuna tafauti kubwa sana kati ya uzuri na urembo. Hicho kilichokupagawisha hapo ni manjonjo ya urembo.

Je, shemeji yangu nae huwa unamruhusu kwenda Salon?
 
Women smell good, they're soft and they have boobs, that's why I don't understand gay men.

Ni sawa ila siyo wanawake wote wako hivyo...hasa kuku wa kienyeji. Ila kuku wa kizungu walio wengi ndio utawakuta kwenye muonekano huo mtamu.
 
Apa hakuna wakunishauli niko addicted kwa mtoto wa cape Verde
 
Ni sawa ila siyo wanawake wote wako hivyo...hasa kuku wa kienyeji. Ila kuku wa kizungu walio wengi ndio utawakuta kwenye muonekano huo mtamu.

Kuku wa kienyeji nao wana swagga zao pia, miguuni hawana viatu lakini kiunoni wanavaa shanga arobaini.
 
Uko update hongera MillionHairs inabidi nikutafute unitafutie mtoto mmoja kama huyo

Ha ha haaaa...kaka asikuongopee mtu(ushabiki sifa tuache pembeni) kuku wa kizungu(familia bora) ni vigumu sana kuwapata ki urahisi rahisi. Ila kuku wa kienyeji (baadhi ya dada zetu wa Uswazi) kitu laiini kama unasukuma mlevi.
 
Warembo wamependeza!!mruwanda mlimbwende!!
Huyo mtz ni type ya ray lee!!
 
Last edited by a moderator:
Back
Top Bottom