Yes ni bodmas mkuu umepata.
Mkuu kama ni bodmas jipu n 6 sio 12.. naprove hapa chini
3+ 3x3 - 3+3=
3+9 - 3+3=
12 - 6 = 6
Jibu n 6
Niambieni mmepataje 12??
Yes ni bodmas mkuu umepata.
Mkuu kama ni bodmas jipu n 6 sio 12.. naprove hapa chini
3+ 3x3 - 3+3=
3+9 - 3+3=
12 - 6 = 6
Jibu n 6
Niambieni mmepataje 12??
Wewe jamaa ulifeli hili somo
..
3 + 9 -3 +3 = 12Mkuu kama ni bodmas jipu n 6 sio 12.. naprove hapa chini
3+ 3x3 - 3+3=
3+9 - 3+3=
12 - 6 = 6
Jibu n 6
Niambieni mmepataje 12??
Ulichokosea ni pale ulipo chukua
-3+3 = -6badala ya
-3+3=0. rudia tena
3 + 9 -3 +3 = 12
Assume hii hesabu ingekuwa hivi
3+3x3-(3+3)=
Jibu n ngapi hapo!!?
Weka brackets ndio utamwelewa jamaa au kuwa jibu ni 6.Ulichokosea ni pale ulipo chukua
-3+3 = -6badala ya
-3+3=0. rudia tena
hapo ngumu sababu huwezi kuiwekea braket hizo na kuiacha -ve nje, na pia huwezi kuiacha braket kwenye times....Assume hii hesabu ingekuwa hivi
3+3x3-(3+3)=
Jibu n ngapi hapo!!?
Kuna link hapo juu nimeweka inaonesha addition and subtraction hakuna chenye precedence, unaenda na left to right tu.
I thought addition had precedence.
This makes the difference between the answer of 6 (addition takes preference) and 12 (just left to right).
Hii ndiyo tofauti ya watu wanaopata 6 na 12.
hapo ngumu sababu huwezi kuiwekea braket hizo na kuiacha -ve nje, na pia huwezi kuiacha braket kwenye times....