Nduka
JF-Expert Member
- Dec 3, 2008
- 8,552
- 2,360
- Thread starter
- #21
Biblia imeandikwa kuwa mwanaume atamwacha Baba yake na mama yake na ataambatana na mkewe(kwa maana kuwa wataacha familia zao).
Sasa wewe Chagua moja kuilinda ndoa yako au kumuendekeza shemeji.By the way sijui anakaa kwako? kama ndivyo fukuza.Tumia hata wazazi kuwaelezea ukweli na uwe muwazi kuwa huipendi tabia hiyo.
Mfivha maradhi kilio humuumbua,hivyo take care ,hali hiyo si nzuri kwa vile mkeo anapaswa kukupenda wewe kwanza na sie mdogo wake,na ndio maana alikubali mkataba wa kuja kwako.
Binamu biblia ukiisoma kihivyo si unaweza kulambwa kofi la kushoto ukageuza kulia? hayo maneno yanamaana zaidi ya hiyo ya literali. Nadhani binamu hutaki kukubali ukweli wa maisha unaamini zaidi dhana, huyu mdogo wake wamekuwa maisha yao yote wakitegemeana hawakuwa na mtu mwingine wa kuwasapoti zaidi ya mama yao, leo anaweza kuniamini mimi kuliko mdogo wake? kwa kweli mimi siamini hivyo na wala sitegemei ninanchotegemea ni mdogo wake awe kama watu wengine akisikia shida za dada yake azipotezee.