HARUFU
Platinum Member
- Jan 21, 2014
- 31,704
- 48,140
Haya mambo yapo lakini.
Pole sana Kiongozi.
Nashukuru sana WAZAZI wangu wawili wameridhiana.
Yaani tokea Mie HARUFU sijaletwa hapa ULIMWENGUNI, mpaka mie HARUFU naletwa hapa ULIMWENGUNI, hadi kufikia Mie HARUFU kupata AKILI, na mpaka kufikia hivi sasa tunavyoongea WAZAZI wangu wawili bado wapo pamoja.
Kwa kweli WAZAZI wangu nawaonea sana WIVU.
Mwenyezi MUNGU azidi kunitunzia WAZAZI wangu wawili.
Mwenyezi MUNGU azidi kuwapa AFYA njema WAZAZI wangu wawili
Pole sana Kiongozi.
Nashukuru sana WAZAZI wangu wawili wameridhiana.
Yaani tokea Mie HARUFU sijaletwa hapa ULIMWENGUNI, mpaka mie HARUFU naletwa hapa ULIMWENGUNI, hadi kufikia Mie HARUFU kupata AKILI, na mpaka kufikia hivi sasa tunavyoongea WAZAZI wangu wawili bado wapo pamoja.
Kwa kweli WAZAZI wangu nawaonea sana WIVU.
Mwenyezi MUNGU azidi kunitunzia WAZAZI wangu wawili.
Mwenyezi MUNGU azidi kuwapa AFYA njema WAZAZI wangu wawili