Simpendi mama yangu mzazi

Simpendi mama yangu mzazi

Tume jaribu. Kutaka kumwambia. Lakini kaka wa Kwanza kamkingia kifua .baba alituita Na kutuambia kuwa Mimi Na mama yenu. Tuna matatizo ivo kesho kutwa nitawaitaji tumwambie mama yenu. '''Ooooo kaka akawa mkali kama mbogo. Baba ww muongo unamtesa mama .aikuchukua mda mama kaenda kwao

Sent using Jamii Forums mobile app
Daaahh aisee ,unazidi kunikosesha usingizi hapa,, hii ndo unasikia Eric shigongo anasema "Mama yangu anakula nyama za watu"..hizi mambo ni Really kabisa.


Pole sana, Sasa tumeshaona Tatizo ni Mama, mama ndio changamoto pekee inayowasambaratisha, ,,aya ndo nanyinyi Mmeshia kusema tatizo ni mama Bila kuchukua hatua?? .

Mie nakupa Njia ya kukwepana nahaya yote , Anza kusali ,anza kusali na usome biblia ,Yupo Yesu ambaye , Mama yule alokua anavujwa damu uken miaka 14 aliposmsogelea na kwa iman akagusa Vazi lake tuu ,na Damu ikakoma hapo hapo na Akapona.


Kwa suala kama hili, Wagangaz watabiri, watu wa majini hawatokaa kukuokoa wewe wala baba yako wala kaka zako wala mama yako wala familia nzima, sana sana Mtazidi kuchukiana na mipasuko ndani yako.

Mfuate Yesu , Usali , Yesu yeye anampenda kuanzia Baba yako mpaka mama mpaka mdogo wako na mababu, Ukimfuata Yesu maana yake umeenda kuponywa, umeenda kuumbwa upya, unaenda kufunguliwa, ukimfuata yesu hata kuzimu wanatetemeka !!

Aisee Mfate yesu ,Hutokaa Uhisi tena matatizo !!..hiyo ndo tiba nayokushauri.....kuongea sana, kulia sana hakutokaa kukusaidie.

Piga hatua, Mfuate Yesu ...JESUS CHRIST!!
 
Mama yangu nikimwambia hiki kijiko kimevunjika atasema castr kasema kijiko kibaya.

Lakini kila nikiongea naye nakua natabasamu. Nampenda. Nikiwa mdogo nimehudhuria tamasha la injili Diamond Jubilee mchungaji anasema leteni maombi yenu niwaombee.

Ombi langu lilikua ni baba na mama yangu wawe na maisha marefu.

Nimejua kutabasamu.
 
Kuishi naye kwa akili hakusaidii, kwann asimwambie haya aloyaandika hapa??.

Ujui matokeo yake jamaa wanakua ,wakiwa na moyo mdogo wakutafuta maisha, kwasababu kiakil wanajua wamefungwa??


Sasa aishi naye kwa akili hii hii??
Nilimwambia wazi wazi kuwa ww ndo tatizo .kilicho tokea kaka zang wote wamenitenga

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It so sad pole mkuu ndo mambo ya dunia ila kumbuka damu nzito kuliko maji siku akiaga dunia utammisi mama ata kama alikuwa anakuhudhi kiasi ganii.mama atabaki kuwa mama pamoja na kasoro zake.
 
Nilimwambia wazi wazi kuwa ww ndo tatizo .kilicho tokea kaka zang wote wamenitenga

Sent using Jamii Forums mobile app
Pole sana ,usiumie kwa wao kukutenga,,, nisababu wamenywesha kiapo kinachowapa ujinga na upofu wakutoona, hivo hata uwambieje hawatokaa wakuelewe .

Nijukum lako wewe ambae bado uko mzima, kuwasaidia na kuwaombea .. Na Nuru ya Mungu itawatawala na hapatakua na giza tena.
 
Machungu yako yote nayaelewa.

Hivyo umekuja hapa ili upate ufumbuzi.

La kwanza ni hilo, anza kuangalia mazuri ya mama yako, hakuna njia itakutoa hapo bila kuanza kuangalia mazuri yake


Cha kwanza waza "mama yangu ananipenda sana, hakuamua kutoa mimba akanizaa" hili ni kubwa kuliko yote.

Then Jaribu kumsamehe kwa kila analofanya, msamehe tu hata akukere vipi wewe msamehe na mwambie Mungu naomba msamehe mama yangu.

Halafu muombe sana kwa Mungu apate ufahamu mwema, omba muda wote unaokuwa na nafasi.

Then japo ni ngumu jenga nae urafiki, akiwa rafiki yako inakuwa ni rahisi kumbadilisha.

Hakuna njia zingine mama yangu, Najua unachopitia na pole sana, Mungu akusimamie.

Ukishindwa jitahidi kukaa mbali nae kabisa awe anakukumbuka

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Familia yenu ni kama ugonjwa wa malaria, plasmodium wanashambulia ndani ya mwili halafu impact inatokea nje ya mwili pale victim anapo sweat..

Namaanisha, ugomvi unaanzia chumbani afu mapambano yanafanyia nje ya chumba.

Hongera kwa baba kuwa mvumilivu, wenda ungekua katikati ya misitu unatafuta malisho na hujui unaishije katika hii dunia iliyojaa unafki, udhalimu na uzandiki.

Muombe Mungu ailinde na aisimamie familia yenu...

Wasalaam
Satan


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Daaahh aisee ,unazidi kunikosesha usingizi hapa,, hii ndo unasikia Eric shigongo anasema "Mama yangu anakula nyama za watu"..hizi mambo ni Really kabisa.


Pole sana, Sasa tumeshaona Tatizo ni Mama, mama ndio changamoto pekee inayowasambaratisha, ,,aya ndo nanyinyi Mmeshia kusema tatizo ni mama Bila kuchukua hatua?? .

Mie nakupa Njia ya kukwepana nahaya yote , Anza kusali ,anza kusali na usome biblia ,Yupo Yesu ambaye , Mama yule alokua anavujwa damu uken miaka 14 aliposmsogelea na kwa iman akagusa Vazi lake tuu ,na Damu ikakoma hapo hapo na Akapona.


Kwa suala kama hili, Wagangaz watabiri, watu wa majini hawatokaa kukuokoa wewe wala baba yako wala kaka zako wala mama yako wala familia nzima, sana sana Mtazidi kuchukiana na mipasuko ndani yako.

Mfuate Yesu , Usali , Yesu yeye anampenda kuanzia Baba yako mpaka mama mpaka mdogo wako na mababu, Ukimfuata Yesu maana yake umeenda kuponywa, umeenda kuumbwa upya, unaenda kufunguliwa, ukimfuata yesu hata kuzimu wanatetemeka !!

Aisee Mfate yesu ,Hutokaa Uhisi tena matatizo !!..hiyo ndo tiba nayokushauri.....kuongea sana, kulia sana hakutokaa kukusaidie.

Piga hatua, Mfuate Yesu ...JESUS CHRIST!!
Amen

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Ivi mzazi anaweza akakupa laana. Na mungu akacha laana ikupate . daaaah mungu kweli

Sent using Jamii Forums mobile app
Laana inakujaga kama utani vile, hebu fikiria ungekua na hasira za karibu alafu unasikia mama yako anakuita wewe mchawi, unaweza kujikuta either umempiga au kumtusi na mwisho wake laana.

Ndio maana nimekushauri kumheshimu kama mama, pia chukua tahadhari ya kuwa nae mbali na kupuuzia baadhi ya mambo kuepuka makwazo zaidi.
Ishi nae kwa akili.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Mama yangu nikimwambia hiki kijiko kimevunjika atasema castr kasema kijiko kibaya.

Lakini kila nikiongea naye nakua natabasamu. Nampenda. Nikiwa mdogo nimehudhuria tamasha la injili Diamond Jubilee mchungaji anasema leteni maombi yenu niwaombee.

Ombi langu lilikua ni baba na mama yangu wawe na maisha marefu.

Nimejua kutabasamu.
Mpende sana.amekufanya ukaujua upendo wa baba yako

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Take a time, anza na mama mtoe out kidogo mazingira tofauti na home kisha mwambie live 'mchane' then siku nyingine fanya Kwa baba hivo hivo kulingana na situation zao then tafuta siku wakutanishe, tena ita ndugu zako wa ndani muwachane wazazi wenu kisha shirikisha ndugu zenu wa pande zote mkuu...

Kama wewe umeweza kugundua kitu katika family yenu basi Mungu anataka kukutumia wewe kuisaidia au kuokoa family yenu. So jitahidi kufanya maombi na kila unapotaka kutekeleza ushauri huu ili Mungu akuongoze akawe na hekima na busara ili isionekane umewavunjia heshima...

Mungu wangu wa mbinguni akakubariki na kuisaidia family yenu. Mungu awe nawe daima katika utekelezaji. Amin.

OMBA SASA MUNGU.

kipindi hiki usihofie pesa jali amani ya moyo ili uweze kutafuta zaidi (simaanishi uache kutafuta pesa bali jitahidi kutumia kidogo sehemu yake ulichonacho kurudisha amani ya familia)

Ahsante. Kesho utapata matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app
 
It so sad pole mkuu ndo mambo ya dunia ila kumbuka damu nzito kuliko maji siku akiaga dunia utammisi mama ata kama alikuwa anakuhudhi kiasi ganii.mama atabaki kuwa mama pamoja na kasoro zake.
Kila nafsi ita .......... Umepoteza wapendwa wangapi Adi sasa .

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Take a time, anza na mama mtoe out kidogo mazingira tofauti na home kisha mwambie live 'mchane' then siku nyingine fanya Kwa baba hivo hivo kulingana na situation zao then tafuta siku wakutanishe, tena ita ndugu zako wa ndani muwachane wazazi wenu kisha shirikisha ndugu zenu wa pande zote mkuu...

Kama wewe umeweza kugundua kitu katika family yenu basi Mungu anataka kukutumia wewe kuisaidia au kuokoa family yenu. So jitahidi kufanya maombi na kila unapotaka kutekeleza ushauri huu ili Mungu akuongoze akawe na hekima na busara ili isionekane umewavunjia heshima...

Mungu wangu wa mbinguni akakubariki na kuisaidia family yenu. Mungu awe nawe daima katika utekelezaji. Amin.

OMBA SASA MUNGU.

kipindi hiki usihofie pesa jali amani ya moyo ili uweze kutafuta zaidi (simaanishi uache kutafuta pesa bali jitahidi kutumia kidogo sehemu yake ulichonacho kurudisha amani ya familia)

Ahsante. Kesho utapata matokeo

Sent using Jamii Forums mobile app


Sent using Jamii Forums mobile app
 
Nilimwambia wazi wazi kuwa ww ndo tatizo .kilicho tokea kaka zang wote wamenitenga

Sent using Jamii Forums mobile app
Pengine mama yako ndio ana matatizo ameshindwa kwako Kwa kuwa Mungu anakusudi na wewe, hivo amewafanya wenzako waone kila unachowaambia au kufanya ni kibaya.

Upo kwenye vita ndugu yangu ya kifamilia na wewe ndio star /sterling wa vita hii, omba Mungu akuongoze katika vita hiyo kaka naamini ukimuomba Mungu atakusaidia na utafanikiwa hatimaye mtakuwa kitu kimoja..

Sorry sijamshitumu mama bali tu nimehisi (ndio maana nimetumia neno pengine).

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Inasikitisha ila nimecheka. Pole na hongera kwa kutonunua uongo wa maza, vizuri umemjua hivyo ishi nae kwa akili, ndo maza hakuna namna

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Back
Top Bottom