WEWE VIPI? JE UNAVAA WIGI?Mambo zenu huku tukiendelea kukiadhari na hili jibwana Korona. Hivi Mwanaume unakuwa na midevu mingi hii imeakaaje? Japo kuna wengine wanazichonga na zinaoneoneka Vizuri tu
Ila kwa upande wangu kiuhalisia SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU. SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU
Nimeshindwa hata kuweka kapicha maana SIPENDI HATA KUZIONA
[emoji38]vindevu bwanaNajivunia midevu yangu[emoji1787][emoji28]View attachment 1438488
Sent using Jamii Forums mobile app
Take time kujibu hoja za mwana,sio upotezee,kakwambia vua vyote ambavyo si asili yako ndio uwe na legitimace ya ku critisize ndevu real za mwanaumeSiwapendi tu nikidate na wewe lazima niwe naenda na wewe saluni na kuhakikisha unanyoa ndevu tena zote
Yanii utamuu mwanzo mwisho[emoji4][emoji4][emoji4]kama nakuona wakati zinakutekenya
Kila mtu na anachopendaHvi hakuna namna kuziotesha!!?
Juzi tu ilikuwa Garden love sasa hvi mmehamia kwenye ndevu[emoji4][emoji4]
Sent using Jamii Forums mobile app
umesahau push up bra 😀Sa si bora ndevu zenye ziko real, ushawahi sikia wapi wanaume wamevaa wigi la ndevu?
Vua wigi, vua kope, vua nyusi, vua kucha, vua makeup, vua matako. Nambie mpaka hapo utakua umebaki na nini?
Ukisha fanya hivyo kisha uje u-criticize wanaume wenye ndevu
Mie sipendi kabisa wanawake wanaovaa nywele za bandia za wahindi na wazungu wa Brazil, hivyo sijawahi kuwa nao, kwa hiyo na wewe tafuta mwanaume mwenye tako usoni tuache siye wenye ndevu tunapendwa na wengi zaidi.Mambo zenu huku tukiendelea kukiadhari na hili jibwana Korona. Hivi Mwanaume unakuwa na midevu mingi hii imeakaaje? Japo kuna wengine wanazichonga na zinaoneoneka Vizuri tu
Ila kwa upande wangu kiuhalisia SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU. SIMPENDI MWANAUME ANAYEFUGA NDEVU
Nimeshindwa hata kuweka kapicha maana SIPENDI HATA KUZIONA
Upo Sahihi kabisaKila mtu na anachopenda
Mie ndevu mpango mzimaa
😀😀😀😀 wapenda kufanyiwa naniliu kabla ya naniliu utawajua tuuNdrevu sunna
Maana znasaidia kuleta nanii hata kabla ya nanii haijaamua kuanza ku nanii
Ah sio lazima niandike vyote.
Kwa naniliu nmenanilii tu [emoji38] sema najua znatekenya[emoji3][emoji3][emoji3][emoji3] wapenda kufanyiwa naniliu kabla ya naniliu utawajua tuu
Hahaha ndevu buana
Hahha zaidi ya yote mwanaume mwenye uchebe wake, ule uliotengenezwa vzr anakua na ka mvuto flani hiviKwa naniliu nmenanilii tu [emoji38] sema najua znatekenya
Kweli kabisa na wale wakujiacha rough sijui hua hawaoni ndevu zinaota bila mpangilioHahha zaidi ya yote mwanaume mwenye uchebe wake, ule uliotengenezwa vzr anakua na ka mvuto flani hivi
Wanaziona ila nadhani gharama za kwenda saloon kila mara wanajionea tabuKweli kabisa na wale wakujiacha rough sijui hua hawaoni ndevu zinaota bila mpangilio
Salon buku jero[emoji38][emoji38]Wanaziona ila nadhani gharama za kwenda saloon kila mara wanajionea tabu
Kuna watu mabahili ,Salon buku jero[emoji38][emoji38]