...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!!
Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
...Kuna watu wengi humu JF
ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi
kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa
FAIZAFOXY lol!!
Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au
threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui
kwanini.
Mi napenda anavyobishaa hata kwenye ukweli ye anabisha tuu
hahahahahaha umeona eeeeeeh
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!!
Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!!
Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
yeye CCM wewe CHADEMA wapi na wapi
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!!
Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.
Mleta uzi, Hata mitume
ilichukiwa seuze Da
#faizafoxy
?...go on na chuki zako,utakufa siku si zako, jifunze KUKUBALIANA
KUTOKUBALIANA. Go on faiza! Dunia ingekuwa na watu wenye killa kitu
sawa hakika ingekuwa doro sana(boring)
...Kuna watu wengi humu JF ambao kwa hakika mtazamo wa mawazo unatofautiana na mimi kwa kiasi kikubwa kama Malaria Sugu,Rejao nk..lakini kuna huyu mmoja anaitwa FAIZAFOXY lol!!
Yaani simpendi mpaka nashindwa nifanyaje.Nikiona comments zake au threads zake yaani akili yangu inatamani hata kuvunja PC yangu..sijui kwanini.