ACHA HIZO MKUU, MPENDE ADUI YAKO NDIYO KANUNI KUU, ZINGINE BLABLA. badilika kifikra utampenda. fahamu yy kuna vitu anaviamini ambavyo kwa wengine ni ngumu, lkn sio 7bu ya kumchukia tafadhali ukubali uwe na amani moyoni/rohoni mwako, sina maana awe mwokozi wako no. Kama huwezi nakushauri mtafute umwambie tatizo fasce to face, kisha mpatane au mhamishe ajiunge na kambi yako