MT KILIMANJARO
JF-Expert Member
- Apr 19, 2013
- 4,215
- 760
Ngoja kesi iende mahakamani ndiyo tutajua maana huko siri zote huwa zinatoka hata kama serikali haitashinda lakini ukweli utakuwa umetokelezea kama ilivyokuwa RICHMOND.
Simon kisena hana uwezo wakumiliki UDA kwa wakazi wa mwanza tunamfahamu vizuri sana tena sana. Ameshika mali za wakubwa kwakujifanya mmiliki wa UDA.