MchunguZI
JF-Expert Member
- Jun 14, 2008
- 4,009
- 2,171
Ridhiwani kikwete wakati Simon group wanafanyiwa feasibility study ya uwezo wao wa kuendesha UDA ndio aliekuwa sole signatory wa cheki za kumlipa mtu aliyefanya hiyo study, kwa asiyejua atamtetea tu lkn ukweli ndio huo kwa uelewa wangu mdogo mwenye kampuni yake ndiye mwenye mamlaka na finances za kampuni yake, acheni kutetea upuuzi ifike muda tujitambue kwa maendeleo ya nchi yetu
Sijui kwa nini watu wazima wanatatanika! Huyu anayeitwa mwana mpendwa ndo mmiliki wa UDA. Hadithi niliyowahi kusikia ni kwamba hata pesa ya kununua UDA ilichotwa kwa amri ya mkuu. Pesa ikachotwa serikalini na UDA ikanunuliwa.
Tatizo ni kuwana Rais ambaye ana madaraka ya kifalme. Kila mtu anataka urafki na Rais, akishindwa mwanae, akishindwa mkewe, akishindwa hawal yake, n.k.