you made my day hakika ni kweliYawezekana CCM na Zanu PF wanafanana kwasababu vyote ni vyama dola na vinaogopa mageuzi! Lakini Mugabe na Magufuli hawa ni watu tofauti kabisa! Mugabe akiwa msomi na exposure kubwa ameivuruga Zimbabwe ktk hali ya kutia aibu kwa misimamo ya kijinga jinga! Magufuli ni mtawala mwenye exposure sifuri na hajui siasa wala siyo mtawala. Haishangazi Tz inaanza kurudi nyuma!