Dr Adam Francis
JF-Expert Member
- Aug 12, 2011
- 483
- 749
Mtu yeyote anayesahau alikotoka anayohatari ya kurudia makosa yake. Leo tuwaangazie mawaziri wetu wa mambo ya ndani katika awamu ya sita kujua tulipotoka, tulipo na kama tuna la kujifunza huko mbeleni tuendako.
Nimetafakari namna hawa mawaziri wawili, moja kijana, moja mkongwe, kijana akiwa waziri wakati wa MO29 na mkongwe akiwa waziri wa D9, nimefikia hitimisho kuwa bado ukubwa ni dawa.
Binafsi sio muumini wa wabunge waliokaa bungeni miaka 20, 25 mpaka 30. Nilitamani kazi ya ubunge ingekuwa na ukomo kama ilivyopendekezwa na Tume ya Warioba.
Lakini jinsi kijana mwenzetu Bashungwa alivyoshughulikia MO29, pamoja na madhila yake yaliyofuata, ukilinganishwa na Simbachawene alivyoshughulikia D9, na utulivyo uliofuata, nadhani kuna wakati vijana tukubali tunachakujifunza kutoka kwa wakongwe waliotutangulia.
Vijana tunapenda madaraka, lakini wakati mwingine yanatuzidi. Cheo kidogo tu mikwara kila kona, mara umefukuza huyu, mara umetukana yule, kule umeweka mtu ndani mwisho ww mwenyewe unageuka kero kwa jamii.
Chukulia mfano wa wakuu wa mikoa, muweke Antony Mtaka kwa upande mmoja na hawa vijana wenzangu kwa upande mwingine halafu tafakari.
Nadhani ingawa tunao vijana wanaofanya vizuri kwenye uongozi, na kwamba tungependa vijana tupewe nafasi zaidi ila bado tunahitaji wakongwe kama akina Lukuvi and the likes kuendelea kuwepo kuturithisha stadi za uongozi.
Nimetafakari namna hawa mawaziri wawili, moja kijana, moja mkongwe, kijana akiwa waziri wakati wa MO29 na mkongwe akiwa waziri wa D9, nimefikia hitimisho kuwa bado ukubwa ni dawa.
Binafsi sio muumini wa wabunge waliokaa bungeni miaka 20, 25 mpaka 30. Nilitamani kazi ya ubunge ingekuwa na ukomo kama ilivyopendekezwa na Tume ya Warioba.
Lakini jinsi kijana mwenzetu Bashungwa alivyoshughulikia MO29, pamoja na madhila yake yaliyofuata, ukilinganishwa na Simbachawene alivyoshughulikia D9, na utulivyo uliofuata, nadhani kuna wakati vijana tukubali tunachakujifunza kutoka kwa wakongwe waliotutangulia.
Vijana tunapenda madaraka, lakini wakati mwingine yanatuzidi. Cheo kidogo tu mikwara kila kona, mara umefukuza huyu, mara umetukana yule, kule umeweka mtu ndani mwisho ww mwenyewe unageuka kero kwa jamii.
Chukulia mfano wa wakuu wa mikoa, muweke Antony Mtaka kwa upande mmoja na hawa vijana wenzangu kwa upande mwingine halafu tafakari.
Nadhani ingawa tunao vijana wanaofanya vizuri kwenye uongozi, na kwamba tungependa vijana tupewe nafasi zaidi ila bado tunahitaji wakongwe kama akina Lukuvi and the likes kuendelea kuwepo kuturithisha stadi za uongozi.