kapotolo
JF-Expert Member
- Sep 19, 2010
- 3,727
- 2,213
who knows, nothing is impossible under the influence of MOOLAKama kweli mbona nyuzi imeondolewa humu au na kina Max nao wamehongwa?
who knows, nothing is impossible under the influence of MOOLAKama kweli mbona nyuzi imeondolewa humu au na kina Max nao wamehongwa?
yaani huu upuuzi unauita pigo??Pigo lingine kwa chadema, uongo na uzushi ndio uliowajaa vinywani mwao.
Huyu kamanda bure kabisa tukio ni kweli limetokea ila siyo mheshimiwa unaposema hakuna tukio kama hili tumweleweje?
Kwani wewe una uhakika gani kama simbachawene hajahonga vyombo vya habari?
Mawazo mengine bwana, kama ya chizi vile. Eti pigo kwa cdm. Ptuuuuuu!!Pigo lingine kwa chadema, uongo na uzushi ndio uliowajaa vinywani mwao.
Pigo lingine kwa chadema, uongo na uzushi ndio uliowajaa vinywani mwao.
Pigo lingine kwa chadema, uongo na uzushi ndio uliowajaa vinywani mwao.
Kama kweli mbona nyuzi imeondolewa humu au na kina Max nao wamehongwa?
Akili yako fupi sana ndugu yangu. Kama Simbachawene (aliyelala hotelini hapo) amesema tukio limetokea, kamanda wa polisi anakanusha ujue tukio limetokea na muhusika ni Simbachawene ila kamanda kapokea maagizo/rushwa ili afunike kombe. Kamanda angeeleza kuwa tukio limetokea lakini Simbachawene hakuhusika ningeelewa. Huwezi kusema Simbachawene na Mmiliki wa hoteli wote ni waongo kwa kusema kuwa tukio lilikutokea kwani wao ndio walikuwa hotelini hapo tofauti na mkuu wa polisi. Mkuu wa polisi kwa kauli yake inathibitisha kuwa tukio limetokea na Muhusika ni Simbachawene ndio maaana anaficha ijapokuwa kwa akili zake fupi akakanusha kutokea kwa tukio zima akidhani kuwa ndio anajenga kumbe atawadanganya mabongolala wenzake tu.
wote hawa ni DHAIFU!mwenye hoteli:kigogo wa serikali kafumaniwa na mke wa askari
Kigogo wa serikali:sikufumaniwa mimi ila ni mtu mwingine
Polisi:hakuna tukio kama hilo limetokea katika hotel hiyo
labda tumuulize na Rais labda yeye amepewa information nyingine
wote hawa ni DHAIFU!
WENZAKO WAMEANZA UKUBWANI KUONGEA KWA KUTUMIA MASABURI, WE ULIANZA UTOTONI??? kweli watumwa wa chama cha machangu ni wengi, na we mmoja wao!Ulitaka Polisi waseme Simbachawene kafumaniwa? kitu kama hiyo simply haikutokea.
Mnaodanganywa ni nyinyi na mnakimbilia na kuukubali kila uongo, tuonesheni hilo panga kapigwa wapi? maana mkono wake ni mzima (kama mlivyozua jana), labda kwenye makalio, mnataka awavulie na suruali? maana shati kisha wavulia bado haiwaingii akilini kuwa ule ni uongo na uzushi.
Jana nilisema kwenye nyuzi mliyoishadidia sana na leo haipo imeyayushwa (vipi Max? ilikuwa ni nyuzi ya uongo ndiyo mmeifuta au mmehongwa? mje mseme kweli, kwa nini mmeiyayusha)., nilisema; Siasa ni mchezo mchafu na kuna kila namna ya fitna, siwezi kuamini mpaka nisikie upande wa pili, na leo nimeusikia, kuwa Mheshimiwa Simbachawene kavuwa mpaka shati na hakuna hata alipochubuliwa mwilini mwake wacha kukatwa panga.
Ni nini usichokielewa hapo?