johnthebaptist
JF-Expert Member
- May 27, 2014
- 83,998
- 142,023
Waziri wa Mambo ya Ndani, George Simbachawene amesema kuna tatizo kubwa kwenye umiliki wa mali katika makanisa kiasi cha kuleta changamoto kwenye ulipaji wa kodi.
Simbachawene amesema kuna mali kama Hospitali, Majengo na Magari zimeandikishwa kwa majina binafsi ya Wachungaji, Maaskofu, Mitume au Manabii lakini waumini wao huamini mali hizo ni za makanisa yao.
“Serikali inapokuja kudai kodi yake ndipo panatokea matatizo kwani viongozi hao wa dini hutaka kujificha kwenye kivuli cha Kanisa”, alisema Simbachawene katika Kongamano la Mitume na Manabii.
Chanzo: Wapo Radio
Nawatakia Dominica yenye baraka!
Simbachawene amesema kuna mali kama Hospitali, Majengo na Magari zimeandikishwa kwa majina binafsi ya Wachungaji, Maaskofu, Mitume au Manabii lakini waumini wao huamini mali hizo ni za makanisa yao.
“Serikali inapokuja kudai kodi yake ndipo panatokea matatizo kwani viongozi hao wa dini hutaka kujificha kwenye kivuli cha Kanisa”, alisema Simbachawene katika Kongamano la Mitume na Manabii.
Chanzo: Wapo Radio
Nawatakia Dominica yenye baraka!