Simba yamuuza Clatous Chama nchini Morocco

Rekebisha kichwa cha habari, umeandika kama taarifa imethibitishwa kumbe tetesi.
 
Siyo kweli. Babra yupo Morocco kuandaa mazingira ya Simba kuweka kambi kujiandaa na Msimu mpya wa ligi Kuu na ligi ya Mabigwa Afrika.

Tetesi za uongo.
 
Siyo kweli. Babra yupo Morocco kuandaa mazingira ya Simba kuweka kambi kujiandaa na Msimu mpya wa ligi Kuu na ligi ya Mabigwa Afrika.

Tetesi za uongo.
Hawa Wadosi wakitaka kufanya yao wanasingizia kuandaa mazingira ya kambi then baadaye yajayo yanakeresha.
 
Hatimaye chama kutua RS Berkane, kazi kwa Bwalya sasa kutengeneza ufalme Simba SC
 
Kutoka kwenye ukurasa wa Maulid Kitenge huko Twitter ameripoti kuwa kuna tetesi kuwa nyota mahiri wa Simba Sc kutoka Zambia, Clatous Chota Chama ameuzwa kwa klabu moja nchini Morocco.

Hiyo ni baada ya Mtenda Mkuu wa Simba, kuwa nchini huko kwa muda wa siku kadhaa sasa.

Kitenge ametumbia atatuambia timu anayoenda Chama na kiasi alichouzwa!

Kama ni kweli, Simba Sc inaweza ikapoteza key players wake wawili ndani ya dirisha hili ambao ni Chama na Miquissone, unawaona Simba wakiwa katika nafasi gani msimu ujao?

View attachment 1885660
Amepotea
 
Mbona huyu huyu Maulid Kitenge ( Mtangazaji Mnafiki, Mswahili, Mpenda Majungu na anayeichukia Simba SC ) hakutupa 'Tetesi' za Yeye kuhama kutokea Wasafi Media na Kurejea EFM na TvE?

Na kuhusu Mchezaji Clatous Chota Chama kutakiwa huko nchini Morocco na Klabu ya FAR Rabat anayofundisha aliyekuwa Kocha wa Simba SC Sven Vandebroek hizo Tetesi hazijaanza leo na nashangaa Mtu kama Maulid Kitenge amechelewa Kuzipata.

Sidhani kama 'Simba SC' itamuuza CCC.

646558AF-7A54-40AF-9D58-EE7FB5C4C063.jpeg
 
Katika watu wenye matatizo na kutunga taarifa za kuzusha mitandaoni ndio huyu namba moja naona sijui tcra wanashindwa nini kuanza nae ili liwe fundisho kwa washirika wenzie wenye mtindio wa ubongo

Binafsi naona kitenge sidhan km alisoma na anacheti naafiki ile kila mwandishi awe na diploma kwenda juu

Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Vp taarifa ya Chama
 
Mbona huyu huyu Maulid Kitenge ( Mtangazaji Mnafiki, Mswahili, Mpenda Majungu na anayeichukia Simba SC ) hakutupa 'Tetesi' za Yeye kuhama kutokea Wasafi Media na Kurejea EFM na TvE?

Na kuhusu Mchezaji Clatous Chota Chama kutakiwa huko nchini Morocco na Klabu ya FAR Rabat anayofundisha aliyekuwa Kocha wa Simba SC Sven Vandebroek hizo Tetesi hazijaanza leo na nashangaa Mtu kama Maulid Kitenge amechelewa Kuzipata.

Sidhani kama 'Simba SC' itamuuza CCC.
Wameishamuuza kwa mujibu wa poti wako Magori leo hii akiongea na kituo kimoja cha redio
 
Tatizo sio kupoteza key players. Tatizo ni kuweza ku identify suitable replacements. Hata kama wakiwa hawajafikia kiwango cha Luis na Chama lakini angalau wawe na potential.

Hivyo ndivyo clubs zinavyojiendesha. So kama ni biashara ifanyike lakini kusajili kwa mihemko hakutakiwi.

A lot of scouting is needed for proper replacements.
Unaonaje replacement iliyofanyika?
 
Tatizo sio kupoteza key players. Tatizo ni kuweza ku identify suitable replacements. Hata kama wakiwa hawajafikia kiwango cha Luis na Chama lakini angalau wawe na potential.

Hivyo ndivyo clubs zinavyojiendesha. So kama ni biashara ifanyike lakini kusajili kwa mihemko hakutakiwi.

A lot of scouting is needed for proper replacements.
Angaikeni na zipompa pompa wenu. Where do you get guts to tell us how to manage team wakati you hv failed so many times.... 30 plus more players in 3 seasons... mkiaminisha watu kila mara u got new best ones wabebwe... then outcome zero
 

Similar Discussions

Back
Top Bottom