Tupe uthibitisho,maana Chama leo karipoti kambiniNi kweli,timu iliyompokea barbara huko morocco ndio iliyomnunua chama
Sent from my SM-N960F using JamiiForums mobile app
Hiyo emoji niliyoweka inaeleza kila kitu. World class nilifanya zihaka tu. Ndio maana nikamaliza na hii😁😁😂World class sio? Yaani Thimba isajiri kina Messi, Neyma au umesahau ulitaka kusema African top players
Uthibitisho wake kautoa kwa mmbea mkuu Maulid Kitenge Wamipasho.Tupe uthibitisho,maana Chama leo karipoti kambini
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Hawa Wadosi wakitaka kufanya yao wanasingizia kuandaa mazingira ya kambi then baadaye yajayo yanakeresha.Siyo kweli. Babra yupo Morocco kuandaa mazingira ya Simba kuweka kambi kujiandaa na Msimu mpya wa ligi Kuu na ligi ya Mabigwa Afrika.
Tetesi za uongo.
After all chama sasa ana muaka 30 ni bora kumuuzaSoka biashara. Kama simba wanaona watapata mpunga mrefu fresh tu. Tutasajili world class wengine
Jamaa kilaza kweli angesema tu tanzania class tungemuelewaWorld class 😂😂😂
AmepoteaKutoka kwenye ukurasa wa Maulid Kitenge huko Twitter ameripoti kuwa kuna tetesi kuwa nyota mahiri wa Simba Sc kutoka Zambia, Clatous Chota Chama ameuzwa kwa klabu moja nchini Morocco.
Hiyo ni baada ya Mtenda Mkuu wa Simba, kuwa nchini huko kwa muda wa siku kadhaa sasa.
Kitenge ametumbia atatuambia timu anayoenda Chama na kiasi alichouzwa!
Kama ni kweli, Simba Sc inaweza ikapoteza key players wake wawili ndani ya dirisha hili ambao ni Chama na Miquissone, unawaona Simba wakiwa katika nafasi gani msimu ujao?
View attachment 1885660
Kweli kabisa Swahiba wamevurugwa mbaya.Ngoja uje kutukanwa na mikia,wamevurugwa kila anaepita karibu nao anaambulia matusi hadi huku mitaani Shadeeya au sio 😀
Wanajifariji tu 😀Kweli kabisa Swahiba wamevurugwa mbaya.
Na ukiwaona wako busy kushangilia Yanga kufungwa au kutolewa mashindano fulani jua ndio wanapatamo faraja humo. 🤣🤣🤣
Mbona huyu huyu Maulid Kitenge ( Mtangazaji Mnafiki, Mswahili, Mpenda Majungu na anayeichukia Simba SC ) hakutupa 'Tetesi' za Yeye kuhama kutokea Wasafi Media na Kurejea EFM na TvE?
Na kuhusu Mchezaji Clatous Chota Chama kutakiwa huko nchini Morocco na Klabu ya FAR Rabat anayofundisha aliyekuwa Kocha wa Simba SC Sven Vandebroek hizo Tetesi hazijaanza leo na nashangaa Mtu kama Maulid Kitenge amechelewa Kuzipata.
Sidhani kama 'Simba SC' itamuuza CCC.
ACHA PROPAGANDA WEWETetesi kama tetesi ninachojua mtendaji wa simba kaenda kuweka sawa maandalizi ya Kambi ya Simba maana wataweka huko kambi kuanzia wiki ijayo huyo Khanga anaendeleza propaganda za Yanga juu ya simba wakiongozwa na Manara
Sent from my Infinix X656 using JamiiForums mobile app
Vp taarifa ya ChamaKatika watu wenye matatizo na kutunga taarifa za kuzusha mitandaoni ndio huyu namba moja naona sijui tcra wanashindwa nini kuanza nae ili liwe fundisho kwa washirika wenzie wenye mtindio wa ubongo
Binafsi naona kitenge sidhan km alisoma na anacheti naafiki ile kila mwandishi awe na diploma kwenda juu
Sent from my Nokia 3.2 using JamiiForums mobile app
Wameishamuuza kwa mujibu wa poti wako Magori leo hii akiongea na kituo kimoja cha redioMbona huyu huyu Maulid Kitenge ( Mtangazaji Mnafiki, Mswahili, Mpenda Majungu na anayeichukia Simba SC ) hakutupa 'Tetesi' za Yeye kuhama kutokea Wasafi Media na Kurejea EFM na TvE?
Na kuhusu Mchezaji Clatous Chota Chama kutakiwa huko nchini Morocco na Klabu ya FAR Rabat anayofundisha aliyekuwa Kocha wa Simba SC Sven Vandebroek hizo Tetesi hazijaanza leo na nashangaa Mtu kama Maulid Kitenge amechelewa Kuzipata.
Sidhani kama 'Simba SC' itamuuza CCC.
Unaonaje replacement iliyofanyika?Tatizo sio kupoteza key players. Tatizo ni kuweza ku identify suitable replacements. Hata kama wakiwa hawajafikia kiwango cha Luis na Chama lakini angalau wawe na potential.
Hivyo ndivyo clubs zinavyojiendesha. So kama ni biashara ifanyike lakini kusajili kwa mihemko hakutakiwi.
A lot of scouting is needed for proper replacements.
Angaikeni na zipompa pompa wenu. Where do you get guts to tell us how to manage team wakati you hv failed so many times.... 30 plus more players in 3 seasons... mkiaminisha watu kila mara u got new best ones wabebwe... then outcome zeroTatizo sio kupoteza key players. Tatizo ni kuweza ku identify suitable replacements. Hata kama wakiwa hawajafikia kiwango cha Luis na Chama lakini angalau wawe na potential.
Hivyo ndivyo clubs zinavyojiendesha. So kama ni biashara ifanyike lakini kusajili kwa mihemko hakutakiwi.
A lot of scouting is needed for proper replacements.