huku mtaani kwetu yanga wana shangilia kweli naingia JF namkuta kaka yangu @Balatanda anajitapa kweli naanza kuwaona yanga wapuuzi kweli yani 1 - 1 mnashangilia..
Kama Simba walivyomuingiza Boban kwa maelekezo ya kwenda kumvunja mguu Yondani ksbb 2 kubwa, 1. Wamvunje wamtoe ksbb walimuona ni 1 wapo ya kikwazo kikubwa na 2 kuwatisha mabeki wengine ili wakiona Boban anakwenda tena na mpira waogope,period, yule mibange alaaniwe na atalaanika kweli
Ni kweli dogo kavunjika mguu, kama ni kweli pole sana Yondani, kiukweli Haruna alicheza rafu mbaya.
Kama Simba walivyomuingiza Boban kwa maelekezo ya kwenda kumvunja mguu Yondani ksbb 2 kubwa, 1. Wamvunje wamtoe ksbb walimuona ni 1 wapo ya kikwazo kikubwa na 2 kuwatisha mabeki wengine ili wakiona Boban anakwenda tena na mpira waogope,period, yule mibange alaaniwe na atalaanika kweli
Ni kweli dogo kavunjika mguu? kama ni kweli pole sana Yondani, kiukweli Haruna alicheza rafu mbaya.
Hongereni watani zangu Simba.....So far mmecheza vizuri na mnastahili ushindi.......
Nina wasiwasi Nyoso anaweza kuwagahrimu pale nyuma...
Amri Kiemba kafunga goli zuri sana.....
Pamoja sana wana Yanga wenzangu
5 + 1 - 1 = 5 Yanga bado hizo bao hamjaweza lipa naona kabisa mnaleta msemo wa Kiswahili MBAAZI UKIKOSA MAUA UNASINGIZIA JUA
Kwa game ya leo wa kupewa kadi nyekundu(tena straight red card) alikuwa ni Haruna Moshi Boban.......Kwa rafu aliyomchezea Kelvin Yondani sidhani kama alistahili kuendelea na mchezo.......
Tatizo kinachokusumbua ni mahaba ndio maana unasema simba they have a lot of skills(japo sijaziona uwanjani leo), wale wachezaji wa Simba tuliozoea kuwaona wana skills uwanjani hawakuwa kwenye fomu leo, Mwinyi Kazimoto hakuwa kwenye fomu yake, Felix Sunzu alikuwa anakimbiakimbia tu uwanjani kama ilivyokuwa kwa Nizar Khlafan na Hamis Kiiza wa Yanga.....Kwa leo nyota wa Simba walikuwa ni Amri Kiemba , Shomari Kapombe na Jonas Mkude.....Zaid ya hapo sijaona
...hayo ni maneno yako tu:Huku mtaani kwetu Simba wenyewe wanakiri walikuwa wanaomba mpira uishe mana'ke kwa jinsi hali ilivyokuwa pamoja na Yanga kuwa pungufu lkn muda wowote watu walikuwa wanarudi kati
Ni kweli dogo kavunjika mguu? kama ni kweli pole sana Yondani, kiukweli Haruna alicheza rafu mbaya.
...hayo ni maneno yako tu:
mpira ulikuwa balanced kabisa japo kuna wakati kila Timu ilikua inatawala kwa kiasi fulani: mfano dk. 30 za kipindi cha kwanza Simba ilitawala na dk. 10 za mwisho kipindi cha pili Yanga nao walitawala na hii ilichangiwa na sub zilizofanywa na kocha wa Yanga, kwahiyo ilikuwa ni burudani ya aina yake kwa kuona malengo ya kulipa kisasi cha goli 5-0 hayatimii na ile nia ya kuendeleza ubabe na umwamba inapotea.
Mi nawapongeza wachezaji wa timu zote mbili kwani walituonyesha burudani ya kutosha kwakweli.
Nimefuatilia vyombo vya habari, Yondani hakuvunjika ila mfupa mkubwa ulishituka na atakaa nje wiki mbili.Mie sijui mpira/soka lakn kumvunja mwenzio mguu hata kama mnagombea sifa za magoli huo sio mpira...Ni kumharibia future kwa makusudi mwenzio ambaye siku moja mnaweza kuwa timu moja vilevile...
Ball possesion haiwezi kuwa hiyo mkuu waambie hao Kiss FM wataje ya ukweli, hao marefa utawasingizia tu kwamba waliibeba Simba, sehemu moja tu ambayo refa alitubeba nayo ni kutompa red Haruna hata jukwaani tulipokuwa tumekaa tuliona hilo na tukasema hapo refa katubeba, lakini ile njano aliyopewa Edward, Cannavaro alisukuma na ingekuwa penati, Cannavaro kamchezea rafu nyingi sana Sunzu mara zote wakati wanawania mpira alikuwa anamsukuma na mwisho refa alikosa uvumilivu akampa red, Mwasika naye alimuchezea rafu Kazimoto lakini mbali na kutopewa kadi hata faulo tu haikupigwa, siwezi kumlaumu refa labda alikuwa mbali na matukio au makosa ya kibinadamu tu lakini huwezi kusema kwamba aliibeba Simba. Wale wasaidizi kama ulikuwa makini kuangalia utaona Bahanuzi alikuwa anabaki peke yake akisubiri kupitishiwa kwa nini asiwe offside na ulitaka mwamuzi msaidizi amwache.Kwakweli hata mimi nakubali game ilikuwa nzuri lkn Mtani......
Embu niambie,ukiacha dk 30 za kwanza ulizo'mention hapo Simba ilitawala dakika gani nyingine kati ya 60 nyingine za mchezo ule?, Kiss Fm wametoa tathmini ya mchezo ule jioni hii na wamesema Yanga walimaliza kipindi cha 2 wakiongoza kwa possesion ya mpira 69% dhidi ya 31% za Simba, sasa Mtani hii si ball possesion ya Barcelona dhidi ya team fulani ya daraja la kwanza ya Uingereza?
Kwa mtazamo wangu binafsi jana kukosa MUNGU+Referee+Assistant refferee(Linesmen) kuwa upande wenu hadithi ingekuwa ya tofauti kabisa.
wachezaji wa Yanga kwa mechi ya jana walistahili kucheza kwa nguvu zao zote ili kuona kama wataweza kulipa kisasi cha goli 5-0 na Simba nia yao ilikuwa kufanya juu chini wanakwepa huo mpango; na kwa kudhiirisha hilo mara baada ya kupata goli 1 wachezaji wa Simba wali relax na kila mmoja alianza kuonyesha manjonjo yake, nafikiri vitu vya Mkude, Eddo na Sunzu ulivishuudia. Lengo kuu la wachezaji wa Simba ilikua ni kuaribu mipango mizima ya Yanga ili isiondoke na pointi3.Kwakweli hata mimi nakubali game ilikuwa nzuri lkn Mtani......
Embu niambie,ukiacha dk 30 za kwanza ulizo'mention hapo Simba ilitawala dakika gani nyingine kati ya 60 nyingine za mchezo ule?, Kiss Fm wametoa tathmini ya mchezo ule jioni hii na wamesema Yanga walimaliza kipindi cha 2 wakiongoza kwa possesion ya mpira 69% dhidi ya 31% za Simba, sasa Mtani hii si ball possesion ya Barcelona dhidi ya team fulani ya daraja la kwanza ya Uingereza?
Kwa mtazamo wangu binafsi jana kukosa MUNGU+Referee+Assistant refferee(Linesmen) kuwa upande wenu hadithi ingekuwa ya tofauti kabisa.