Simba vs Yanga: Oct 03, 2012

wamagoli ya penati...
Hivi unaelewa maana ya striker kijana?..........

Kuna mpira Buhanuzi kamzunguka Nyoso dakika ya mwisho kabla ya mpira kuisha kisha kapiga mpira kuelekea lango la Simba Kaseja akaruka kupangua kama alivyofanya kwa mpira uliopigwa na Mbuyu Twite 1st Half..........Hicho ndicho kinanifanya nimwite boooonge la striker.....

Halafu, Hivi umeiona ile penati lakini?, maana Kaseja mnayemuita mchawi wa penati kiasi cha yeye kujitapa 'THERE'S ONLY ONE KASEJA' kaenda MARIKITI.......What a penalty shoot!!.....
 
Haya Mkuu ila Game ilivyoanza ulijificha nikajiuliza Balatanda kajifichia wapi? kusikia Goli la Yanga ulikuja mbio mpaka Password yako ya jamiiforum uliiweka mara tatu tatu> tehtehteh. Unakuwa kama Mkuu Wacha1 na Arsenal.
Sina kawaida ya kujifucha mimi.........

Soma signature yangu......................



Bala Is Always Here...........
 
penati ni gamble, hata mega gamblers kuna wakati wanakosea, hasa mpigaji akiwa less skillful

hongera yanga, amani sasa itakuwepo, maana kesho wangefukuza hadi nguzo zile zinazokojolewa na wachezaji
 
Sina kawaida ya kujifucha mimi.........

Soma signature yangu......................



Bala Is Always Here...........
Hapa tumemaliza mkuu bala,turudi emirate tukapashe misuli moto.
 

Stricker mzuri anaotea mara 5?
 
Pamoja na kucheza 10 uwanjani.............Yanga wamewazidi Simba mchezo...

Said Buhanuzi ni booonge la striker.....

Wabongo tujifunze kufanya technical analysis ya mpira sio tunatangaziana wakati wote tunaona mpira. Analysis yangu ya Bahanuzi ni kuwa anapenda kukaa nyuma ya mabeki ili atanguliziwe halafu akimbie na mpira, na ndio ndio maana umeona anakuwa caught offside.

To me he is not a clever player. Hebu angalia mtu kama Okwi who is to me, the best striker in Tanzania. Huwa anakaa mbele ya mabeki, anarudi nyuma kuchukua mpira halafu anawafuata mabeki akiwa anadribble mpira. He tends to go past defenders because he is exremely talented. Mara nyingi mabeki wanarudi nyuma anapokuwa anawafuata na mpira and they end up committing fouls.

Nna uhakika angekuwepo leo defence ya Yanga isingekuwa as comfortable as they have been today. So to me i will go for Okwi if you present the two players for my team.
 
 
huku mtaani kwetu yanga wana shangilia kweli naingia JF namkuta kaka yangu @Balatanda anajitapa kweli naanza kuwaona yanga wapuuzi kweli yani 1 - 1 mnashangilia..
 
Mi naona wewe ndio unaongea kishabiki zaidi........Kimahaba zaidi......

Ball possession ni Yanga 52% na Simba 48% yet unasema Yanga walikuwa wanacheza physical zaidi.....Mabeki wa Simba walikuwa wanacheza offside trick ndio maana washambuliaji wa Yanga wameotea zaidi ya mara 10......Ona sasa unaaza na hadithi za 'angekuwepo Okwi angeisumbua beki ya Yanga'......Football ni nothing but a game of chance, ndio maana unaona hata baada ya Simon Msuva kutolewa kwa kadi nyekundu Yanga waliendelea kuwashambulia Simba, hii ni kwa sababu walikuwa wakitengeneza chance nyingi hasa eneo la kiungo ambalo liliimarika baada ya Frank Domayo kuingia....Simbaa mpira wamecheza dakika 30 za mwanzo baada ya hapo game ilibalance na dakika 10 za mwisho wa kipindi cha kwanza Yanga waliutawala mchezo.....Hata baada ya Kavumbangu kuingia Yanga waliendelea kuutawala mchezo kwa kutengeneza nafasi za kushambulia ambazo zilikuwa zikiishia kuwa offside kutokana na mbinu iliyotumiwa na beki ya Simba.....

All in all mchezo wa leo ulikuwa mzuri, timu zote mbili zimecheza vizuri na Yanga nawasifu zaidi kwani hata baada ya Simon Msuva kutolewa kwa kadi nyekundu hawakutetereka kwa kulinda goli/kufunga tela badala yake waliendelea kushambulia..............

Nini Tanzania, Buhanuzi ni the best striker in East Afrika.....The Top scorer in 2012 CECAFA Kagame Cup
 
huku mtaani kwetu yanga wana shangilia kweli naingia JF namkuta kaka yangu @Balatanda anajitapa kweli naanza kuwaona yanga wapuuzi kweli yani 1 - 1 mnashangilia..
Nshakuzoea weye.........
 
Kwa game ya leo wa kupewa kadi nyekundu(tena straight red card) alikuwa ni Haruna Moshi Boban.......Kwa rafu aliyomchezea Kelvin Yondani sidhani kama alistahili kuendelea na mchezo.......

Tatizo kinachokusumbua ni mahaba ndio maana unasema simba they have a lot of skills(japo sijaziona uwanjani leo), wale wachezaji wa Simba tuliozoea kuwaona wana skills uwanjani hawakuwa kwenye fomu leo, Mwinyi Kazimoto hakuwa kwenye fomu yake, Felix Sunzu alikuwa anakimbiakimbia tu uwanjani kama ilivyokuwa kwa Nizar Khlafan na Hamis Kiiza wa Yanga.....Kwa leo nyota wa Simba walikuwa ni Amri Kiemba , Shomari Kapombe na Jonas Mkude.....Zaid ya hapo sijaona
 

utaonaje wakati ulivaa miwani ya mbao?
 
Yule beki tatu wa Simba Ngalema ni mzuri sana. Kumbe anazibiwa tu na Maftah.
 
Mimi yanga but bongo hakunanga mupira yenyewe inavutia,tunashabikianga majina ya timu tu!

Sasa unaShabikia nini? Si ujichukulie DSTV tu?

Simba walikuwa 13 uwanjani leo.

Yule mlaganja MOSHI alistahili straight red card.
 
 
Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…