Simba vs Tiger

Hata hizo asilimia 30 ulizompa simba nikama umem-bust tu.

Simba kawa overrated sana
 
Upo sahihi kaka.

Hivi ni kweli Mkuu lile simba dume lenye manyoya likalishwe chini na tiger?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
We jidanganye na stori za mtaani eti simba dime hajui kuwinda, siku ukiingia kwenye 18 zake ndo utajuta
 
hizo sifa ni za jaguar peke yake ndio mwenye uwezo wa kuwinda mamba na sio Tiger
 
Mkuu umeanza vizuri ila umeharibu mwishoni kuhusu viumbe hawa.

Yaani Mkuu wale majibwa German Shepherd ama rocktel(sina uhakika na jina) wanaweza wakaangushwa na paka wa majumbani?

Sent using Jamii Forums mobile app
 
Huyo kawa overrated sana na hiyo inatokana na ile mikwara ya sauti yake

We jifikirie tu, anaitwa lion king mara king of the jungle lakini hata kuwinda halijui lenyewe kula kulala tu kazi zote za uwindaji limemuachia demu wake

Mpaka hapo tayari simba dume hapaswi kuitwa king of the jungle wakati ni kibenten yani analelewa
 
kuna mijusi flani wewe ndio unaiita mamba
Aaah we unazingua

Mijusi na mamba wapi na wapi?

Mi nazungumzia mlango we unanambia nazungumzia pazia, sa unafikiri mi pazia sizijui?
 
Simba hamna kitu pale, hata mmasai akipewa fimbo anacheza naye
 
Labda ni mijusi iishiyo majini ila sio mambo mkuu, tena akiwa majini? Hapana kwa kweli.

Sent using Jamii Forums mobile app
 
African lion labda kama unaizungumzia timu lakini sio simba wa mwituni

Simba yuko overrated hana maajabu
 
Mi njiuavyo kuna aina nyingi za chui ikiwemo na tiger
chui ni mmoja tu, sema watu wanachanganya tu.

cheetah, tyger, jaguar hawa wote watu huwa wanawaita chui lakini kiuhalisia chui ni chui hafanani na hao wengine.

huyu ndio chui
 

Attachments

  • leopard.jpg
    10 KB · Views: 7
Simba anachomzidi Tiger ni uwezo wake wa exert dominance and power over an area. Hii ni kwasababu Simba ni social cat tofauti na Tiger ambaye mara nyingi anakuwa alone.

Vilevile Simba ana guts kuliko Tiger, ndio maana anaweza kukabiliana na prey wakubwa kama Nyati, though kwa kusaidiana na Simba wengine katika Pride yao.

Hii ndio sababu SIMBA ana-symbolise POWER popote duniani!


Sent from my iPhone using JamiiForums
 
Upo sahihi.

Sent using Jamii Forums mobile app
 

Similar Discussions

Cookies are required to use this site. You must accept them to continue using the site. Learn more…