Hii hapa TIGER akimtafuna simba baada ya kupata upenyo ulio watenganisha kati ya yeye na simbaTafuta documentary Win ya hii battle ni 50/50 documentary niliyoangalia Tiger alikufa, simba alipata majeraha makubwa naamini Hata yeye hakuishi siku nyingi baada ya battle
Sent using Jamii Forums mobile app
Mmmh chui ile kumuona Simba, huwa haulizi macho yake mara mbili kwa alichokiona, ni nduki
Alikufa ila kwa mbindeeMi niliona Nat Geo, very huge and tough nyati vs Simba dume, wee usiombe!
Kwa mara ya kwanza nilimpigia salute Simba!
Yaan ni alichangiwa na nyati kama 200, hivi, wale mademu zake Simba wakala kona wote, kidume akadili na nyati 200,
Mpaka wanamdedisha, aliwapiga makofi, na finger za kufa mtu kama 50 hivi!
Yaan hadi anakata roho alihakikisha kaondokoka na roho zao manina!
Salute king of the jungle!
Sent using Jamii Forums mobile app
Chui gani huyo?Mmmh chui ile kumuona Simba, huwa haulizi macho yake mara mbili kwa alichokiona, ni nduki
Sent using Jamii Forums mobile app
Tiger unamjua?Nimetoka kutazama mpambano wa tiger na simba huko youtube, Simba kajeruhiwa zaidi ila tiger kakata pumzi amebaki amelala tu hawez hata kuinuka.
Simba kaamua kuondoka zake hapo sijui nani sasa kashinda pambano
Sent using Jamii Forums mobile app
Mi niliona Nat Geo, very huge and tough nyati vs Simba dume, wee usiombe!
Kwa mara ya kwanza nilimpigia salute Simba!
Yaan ni alichangiwa na nyati kama 200, hivi, wale mademu zake Simba wakala kona wote, kidume akadili na nyati 200,
Mpaka wanamdedisha, aliwapiga makofi, na finger za kufa mtu kama 50 hivi!
Yaan hadi anakata roho alihakikisha kaondokoka na roho zao manina!
Salute king of the jungle!
Sent using Jamii Forums mobile app
Unajua huyo simba alikuwa na ukubwa gani? Maana kama alikuwa simba mdogo au simba jike ni lazima apigwe na Tiger.
ubora wa wanyama wakikaa kwenye zoo nguvu zao zinapungua hawapewi chakula sawa na anavyojichagulia porini ndio maana wanyama wa zoo ni wakali sana tofauti na wa porini...
Naomba. Nijibu hizi hoja kidogo, mkuu.Kwa mimi naona tiger is better
Huyu tiger anauwezo wa kuingia kwenye mto na kumchukua mamba akiwa mle mle kwenye maji jambo ambalo sio rahisi ukizingatia na kwamba nguvu ya mamba ni maji lakini si kwa chui
Halafu hata skills za uwindaji chui yuko vizuri zaidi, kama silaha basi naweza kumfananisha na AK47 wakati simba namfananisha na gobole
Action za chui ni noma hadi ndege anawinda, yani anajiviringa juu huko huko aliko ndege kisha anamdaka kwa mikono kama mtu
Simba dume ndo kabisa hata kuwinda halijui lenyewe kula kulala tu kazi zote limemuachia shemu
Mimi nipo apa Tanapa usinibishie kijana wa maghorofani. Africans Lions, Africa leopards, African Buffalo, Africa elephants and African rhino hawa wanyama ni Habari nyingine. Ndio maana Nimekuuuliz umeshaona simba, chui, nyati, tembo na kifaru anafugwa na unaenda kumshika kama huyu Tiger. Huyu tiger kuwa na uzito Mkubwa haimaanishi kupambana ni sawa na kuchukua mnyanyua vyuma na mcheza kareti. Africans leopards na tiger. Tiger hamuwezi hata kwa sembuse hawa wanyama wanashambulia hatari sana. Hao wanyama wa kwy movie usiwahhsishe na iyo big five.Mkuu unaongea kishabiki ama una fact? Huyo siberian tiger aka amur msikie hivyo hivyo. Ana mkamata tembo mwenyewe kama mmoja na kumuua. Huku Africa si simba wala chui wa Africa mwenye uwezo huo unless wamzingire.
Angalia hii picha ya amur amejazia muscles kama anabeba chuma View attachment 1434536
Huyo kofi moja tu anammaliza chui wetu.
Simba pekee aliekuwa na ukubwa kama au kukaribia wa Amur ama bengali tiger ni barbarian ama atlas lion waliokuwa wakipatikana jangwa la sahara sema wamepotea huko jangwani wapo wachache zoo.
Walikuwa ni wakubwa na manyoya hadi tumboni.
Waliompa ufalme walifanya research, na sio kubisha kutoka kwy mitandao eti Bite 600 kwa 1000.simba bila familia yake analiwa mpaka na fisi.simba ana ana nguvu ya kun'gata,600 wakati tiger ana 1000 bite force.tiger anawinda alone,wakati simba akibaki mwenyewe mara nyingi hufa kwa njaa.ukikaa na ma phutashangaa huo ufalme kapewa na nani
Sent using Jamii Forums mobile app
Izo video mnazotazama National Geographic mkiwa mmenyosha miguu kwenye makochi ya shemej zenu zinawadanganya. Simba ukimuona live akiunguruma tuu usipomaliza haja zako zote basi unakata moto trust me.
U mean African lion???Kama watakua na umri sawa tigerwill win ...judging by the size tiger is more heavy than lion (200kg vs 235kg)...AGGRESSIVENESS tiger is more aggressive than lion ... so if same age ... same sex lion stands no chance
Tena nyati dume anadodoshwa na simba dume bila shida. Njoo mbugani mjifunze sio kudharau King of the junglesimba kumuwinda twiga inabidi kijiji chao kitoke chote.hata mbogo.hawezi kumuua peke yake.simba hawezi kuwinda peke yake hiyo ndio asili yao.angalia the lion rules utaamini.
Sidhani kama uko sahihi huyo unaemsema wewe anaitwa jaguaranapatikana marekani ya kusini huyo unaemuita mamba ni alligator... tiger kwa asili anapatikana Asia ... na kwa taarifa tu hakuna mnyama anaeweza kufanya huo upumbavu wa kuwinda mamba mtoni ( the strongest bite on earth) Hakuna mnyama anaeweza kuwinda hawa jamaa nile crocodile au salt crocodile labda alligator they’re more like lizards than mazafaka crocs
Bora uwaambie vijana wa maghorofani. Simba ana msuuli Mkubwa sana tofauti na tiger. Na msuli na ushupavu ndio umfanya awe king of the JungleIzo video mnazotazama National Geographic mkiwa mmenyosha miguu kwenye makochi ya shemej zenu zinawadanganya. Simba ukimuona live akiunguruma tuu usipomaliza haja zako zote basi unakata moto trust me.