CHAI CHUNGU JF-Expert Member Joined Feb 20, 2012 Posts 7,113 Reaction score 943 Oct 17, 2012 #21 kagera wanapata penati hapa!
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Oct 17, 2012 #22 heee kila mtu anamatokea yake...
Huntsman JF-Expert Member Joined Oct 11, 2012 Posts 648 Reaction score 619 Oct 17, 2012 #23 El Toro said: Kagera wamesawazisha 1-1 Click to expand... acha upotoshaji wewe ni dk45 bao ni kweli1kwa simba na 0 kwa Kagera
El Toro said: Kagera wamesawazisha 1-1 Click to expand... acha upotoshaji wewe ni dk45 bao ni kweli1kwa simba na 0 kwa Kagera
Kennedy Platinum Member Joined Dec 28, 2011 Posts 59,057 Reaction score 69,476 Oct 17, 2012 #24 Mkuu EL TORO acha hizo lete matokeo ya kweli,unasema wamesawazisha.Nadhani watakuwa wamekusawazisha wewe,huyo mnyama leo anashinda.
Mkuu EL TORO acha hizo lete matokeo ya kweli,unasema wamesawazisha.Nadhani watakuwa wamekusawazisha wewe,huyo mnyama leo anashinda.
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Oct 17, 2012 #25 ht prisons 0 - 0 azam fc
Viper JF-Expert Member Joined Dec 21, 2007 Posts 3,666 Reaction score 1,406 Oct 17, 2012 #26 nawasikiliza ma pundit wa kibongo starTV
Mpita Njia JF-Expert Member Joined Mar 3, 2008 Posts 6,999 Reaction score 1,187 Oct 17, 2012 #27 Masuke said: Bora wewe mpita njia upite tu, usimsikilize huyu jamaa. Click to expand... Hawa watu wengine nadhani wametumwa... hivi mtu na akili zako timamu unawezaje kupost kitu ambacho si cha kweli humu?
Masuke said: Bora wewe mpita njia upite tu, usimsikilize huyu jamaa. Click to expand... Hawa watu wengine nadhani wametumwa... hivi mtu na akili zako timamu unawezaje kupost kitu ambacho si cha kweli humu?
Saint Ivuga JF-Expert Member Joined Aug 21, 2008 Posts 55,028 Reaction score 59,657 Oct 17, 2012 #28 simba nipeni rahaaa
Huntsman JF-Expert Member Joined Oct 11, 2012 Posts 648 Reaction score 619 Oct 17, 2012 #29 mandieta said: kagera wanapata penati hapa! Click to expand... Huu uongo unaharibu sifa ya JF kama chombo cha habari
mandieta said: kagera wanapata penati hapa! Click to expand... Huu uongo unaharibu sifa ya JF kama chombo cha habari
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Oct 17, 2012 #30 Viper said: nawasikiliza ma pundit wa kibongo starTV Click to expand... unaangalia au kusikiliza..
ndetichia JF-Expert Member Joined Mar 18, 2011 Posts 27,769 Reaction score 6,585 Oct 17, 2012 #31 Huntsman said: Huu uongo unaharibu sifa ya JF kama chombo cha habari Click to expand... rahisi tu wewe report tu uone eqpylz atakachoifanya
Huntsman said: Huu uongo unaharibu sifa ya JF kama chombo cha habari Click to expand... rahisi tu wewe report tu uone eqpylz atakachoifanya
CHAI CHUNGU JF-Expert Member Joined Feb 20, 2012 Posts 7,113 Reaction score 943 Oct 17, 2012 #32 Red card kwa kaseja,kamshika uboho mchezaji wa kagera wakati akienda kutupia kitu kunyavu lol
J joel amani Senior Member Joined Nov 22, 2011 Posts 100 Reaction score 8 Oct 17, 2012 Thread starter #33 kipindi cha pili ndo kishaanza simba 1 kagera 0 ila simba wameanza kwa kasi sana,vipi mbeya mbona kimya Azam na Prisons
kipindi cha pili ndo kishaanza simba 1 kagera 0 ila simba wameanza kwa kasi sana,vipi mbeya mbona kimya Azam na Prisons
Viper JF-Expert Member Joined Dec 21, 2007 Posts 3,666 Reaction score 1,406 Oct 17, 2012 #34 ndetichia said: unaangalia au kusikiliza.. Click to expand... both mkuu nawaangalia na kusikiliza kuna mkuu katupia link inapatikana online game
ndetichia said: unaangalia au kusikiliza.. Click to expand... both mkuu nawaangalia na kusikiliza kuna mkuu katupia link inapatikana online game
Thanda JF-Expert Member Joined Apr 6, 2012 Posts 1,915 Reaction score 596 Oct 17, 2012 #35 Pazi said: Boban vipi pale nini bwana Boban???? Click to expand... Nimeipenda hii, imekaa vizuri. Ni kama vile juma Nkamia anatangaza.
Pazi said: Boban vipi pale nini bwana Boban???? Click to expand... Nimeipenda hii, imekaa vizuri. Ni kama vile juma Nkamia anatangaza.
Huntsman JF-Expert Member Joined Oct 11, 2012 Posts 648 Reaction score 619 Oct 17, 2012 #36 kipindi cha pili kimeanza bao bado 1-0
PrN-kazi JF-Expert Member Joined Feb 5, 2011 Posts 2,900 Reaction score 445 Oct 17, 2012 #37 Goooooooooo la pili. Ngasa kaua.
Huntsman JF-Expert Member Joined Oct 11, 2012 Posts 648 Reaction score 619 Oct 17, 2012 #38 gooooool 2-0 by ngassa
NG'OTIMBEBEDZU JF-Expert Member Joined Aug 11, 2010 Posts 1,180 Reaction score 598 Oct 17, 2012 #39 mandieta said: Red card kwa kaseja,kamshika uboho mchezaji wa kagera wakati akienda kutupia kitu kunyavu lol Click to expand... mkuu, JF ni sehemu ya kupeana habari si kama unavyofanya, unaharibu maana nzima ya uwepo wako humu. BADILIKA.
mandieta said: Red card kwa kaseja,kamshika uboho mchezaji wa kagera wakati akienda kutupia kitu kunyavu lol Click to expand... mkuu, JF ni sehemu ya kupeana habari si kama unavyofanya, unaharibu maana nzima ya uwepo wako humu. BADILIKA.
Viper JF-Expert Member Joined Dec 21, 2007 Posts 3,666 Reaction score 1,406 Oct 17, 2012 #40 hili bao la ngasa la utata kidogo ..