Pdidy
JF-Expert Member
- Nov 22, 2007
- 61,023
- 36,870
Naiona penalty ama redkadi ktk. Hii MECHII
Pia upande WA PEMBEN WA shaballalh kutakuwa na mtengemano mkubwa kiasi cha kwamba anaweza mtu akahisi hayuko uwanjani
KATIKATI Pia kutakuwa na changamoto KUBWA halijawahi kutokea ktk mechi zote walizocheza
BAADA ya HAPO
Berkane itakuja dar
Sijui nimalizie nionavyooooo
Berkane itapata goli kuanzia Moja nk HATA kama Simba atashinda
Hitimishoooo
Simba atatoka kwa magoli atakayofungwa kuleeee na Berkane
Otherwise
Weka kwenye kumbukumbu zako hili....
Magoli ya Morocco
Berkane vs Simba
3-0/3-1/4-1/4-0
Changamoto Kubwa wasiamini.uchawiii kule watateseka sana
Huku sawa wanaweza pambana na wale wazee waooo
Otherwise
ALLDBEST Simba sc(uzalendos kwanza)
Pia upande WA PEMBEN WA shaballalh kutakuwa na mtengemano mkubwa kiasi cha kwamba anaweza mtu akahisi hayuko uwanjani
KATIKATI Pia kutakuwa na changamoto KUBWA halijawahi kutokea ktk mechi zote walizocheza
BAADA ya HAPO
Berkane itakuja dar
Sijui nimalizie nionavyooooo
Berkane itapata goli kuanzia Moja nk HATA kama Simba atashinda
Hitimishoooo
Simba atatoka kwa magoli atakayofungwa kuleeee na Berkane
Otherwise
Weka kwenye kumbukumbu zako hili....
Magoli ya Morocco
Berkane vs Simba
3-0/3-1/4-1/4-0
Changamoto Kubwa wasiamini.uchawiii kule watateseka sana
Huku sawa wanaweza pambana na wale wazee waooo
Otherwise
ALLDBEST Simba sc(uzalendos kwanza)