TIQO
JF-Expert Member
- Jan 8, 2011
- 13,787
- 2,078
Usiogope chalii yangu, ni makosa ya kiuandishi.
Saizi naona unapumua
Usiogope chalii yangu, ni makosa ya kiuandishi.
Niyonzima amekosa goli hapa
Azam nao vp...mbona wanataka kutuangusha,si hapo Taifa tunahitaji droo
Niko Dar mkuu..
Saizi naona unapumua
Mbui twite yupo fit. Leo chuji naona kamua kuonyesha kama kiwango hakijashuka. anacheza vizuri pale katikati. Oljoro baada ya kufungwa wameamua kujipanga zaidi. wakiendelea hivi watasawazisha. mia
Okwii loool!! Simba 2-1 Azam karibuni!
ndio. yanga wanaongoza. goli limefungwa na mbui twite. miaIna maana Yanga inaongozaaa???? Yebo yebo watajidai sana leo.
yanga 0 na oljoro jkt 1..hahahahahahahaha