namanyele
JF-Expert Member
- Oct 19, 2012
- 1,852
- 608
Habari wanajamvi! kama kawaida yetu leo tena mechi kali kweli kweli,mm nitakuwepo uwanja wa taifa DSM live kushuhudia simba na azam,tutakuwa tunawaletea live updates kwa wale waliokosa kufika uwanjani kutokana na majukumu mbalimbali,kwa walioko arusha uwanja sheikh Amri Abeid msikose kutujuza mtanange kati ya Yanga na Oljoro jkt,na hata viwanja vingine mikoani tuko pamoja sana. mia