Kikosi cha Simba kitakachoanza dhidi ya Azam: Kaseja, Maftah, Ochieng, Hatib, Mkude, Kihemba, Kazimoto, Sunzu, Ngassa na Okwi #LigiKuu
Nilisikia jana kiongozi wa kamati ya ligi akitangaza kuwa wamepiga marufuku radio na televisheni kurusha matangazo ya mpira live mpaka waingie mkataba naoMahaba kweli upofu,nimeshashtukia ma'reporter wa leo wote walevi wa mahaba ngoja nifunge safari ya home nikajiweke mbele ya LED yangu,am sure StarTv wataonyesha
we are not in Court of Law man!,...let truth remain to be truth;....kama unaona huna chaji ya kutosha kurusha Updates kwanini unawa-hakikishia walioko nje ya uwanja watarushia updates kila mara?????...hacha usaniii bwana kwenye mambo yanayogusa jamii ya wengi.
azam anapata goal la kuongoza ni uzito wa pascoal
azam anapata goal la kuongoza ni uzito wa pascoal
Sunzu anabahatisha moja hapa