mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,335
Epl Arsenal anadhaminiwa na fly Emirates ambao kwa kiwango kikubwa walishiriki kwenye management ya Arsenal hadi kuja na plan ya kujenga uwanja wa Emirates
Lakini kwa saivi Fly Emirates wamekuja na Emirates FA cup ambapo timu zote shiriki zimekubali kuvaa hivyo ikiwemo man City inayomilikiwa na Sheikh Mansur anaetumia shirika lake la ndege la Ethad airways kuidhamini man City
Hivyo sijaona sababu ya Simba kususia Mapinduzi cup ila kwa NBC kanuni zipo wazi mdhamini mwenza anatakiwa akae kwenye mabango ya uwanjani na sio kwenye jezi
Ila kesho uto anakufa
Lakini kwa saivi Fly Emirates wamekuja na Emirates FA cup ambapo timu zote shiriki zimekubali kuvaa hivyo ikiwemo man City inayomilikiwa na Sheikh Mansur anaetumia shirika lake la ndege la Ethad airways kuidhamini man City
Hivyo sijaona sababu ya Simba kususia Mapinduzi cup ila kwa NBC kanuni zipo wazi mdhamini mwenza anatakiwa akae kwenye mabango ya uwanjani na sio kwenye jezi
Ila kesho uto anakufa