Ajibu tunae miaka 2.. bado Kahata na Bwalya
Kahata aje abaki na Okwi tufunge kaziKahata na Bwalya hawaji Msimbazi..
Bado mtogo mmoja na Mzambia mwingine ama Okwi kama akikubali matakwa ya klabu
Kahata ametua mkuu..Kahata na Bwalya hawaji Msimbazi..
Bado mtogo mmoja na Mzambia mwingine ama Okwi kama akikubali matakwa ya klabu
Sio 9 mkuu? Baada ya kahataTayari Tuna Wachezaji 10 wa kigeni hii ina maana okwi hatuko nae tena
Wabrazil watatu (3)Tayari Tuna Wachezaji 10 wa kigeni hii ina maana okwi hatuko nae tena
Wabrazil watatu (3)
Msudan mmoja (1)
Mkongo mmoja (1)
Kagere
Wawa
Chama
Kahata
Wa 10 ni nani mkuu? au kesho anatua
Zana sio official mkuu.. ngoja tuone kesho.Zana
Nimeona mkuu! !Kahata ametua mkuu..
Zana sio official mkuu.. ngoja tuone kesho.
Hii pesa wanayotaka kumpa zana wamuongeze okwi abakiHuo utakuwa usajili wa kipuuzi kabisa. It’s radher aje Salum Kimenya wa Prisons. Au atafutwe mtu mwingine lakini sio Zana aisee
Huyu nafasi yake ndo ilichukuliwa na MSUDAN, Shiboub na amesaimesaini deal ya miaka 3 pale Mazembe baada ya kumwachaView attachment 1143641Jean Vital Ourega joins Tanzania side Simba SC
Former Karela United midfielder Jean Vital Ourega hasjoined Tanzanian giant Simba SC on a two-year deal, footballghana.com can confirm.The Ivorian International was supposed to put pen topaper for South African side Super Sports United butthe deal could not be materialize.He later joined...footballghana.com
Huyu nafasi yake ndo ilichukuliwa na MSUDAN, Shiboub na amesaimesaini deal ya miaka 3 pale Mazembe baada ya kumwacha
Sio 9 mkuu? Baada ya kahata