mugah di matheo
JF-Expert Member
- Jul 28, 2018
- 6,276
- 12,336
Salam kwenu wanaJf
Natumai muuwazima wa afya njema kabisa na natumai Jana wengi wenu mlipata wasaa wakuangalia mechi ya Simba vs Biashara United pale kwa mkapa, kwenye hiyo mechi macho yangu yalibahatika kuona yafuatayo
Simba sc
Ndani ya kikosi Cha Simba sc ambae alikua mwenyeji wa mchezo niliona hivi
Benchi la ufundi
Bado kocha mkuu Pablo franco anakigugumizi hasa kuamua Nani acheze kwa muda gani na Nani aingie sab kwa muda gani mfano sub ya kumtoa John Bocco na kumuingiza kagere ili maliza wingi wa magoli kwenye mechi
Pia mtaalam wa viungo bado anaonyesha udhaifu wachezaji wanaonekana wapo kwenye low phisci na wapo Goi goi Sana kuwania mipira ya 50/50 na ndio unapoona kila mpira mrefu unaopigwa kwa Bocco huwa anaenda chini hata shomary na Inonga pamoja na zimbwe waliumia kutokana na aina hii ya mipira
Wachezaji waliofanya vizuri
Shomary kapombe
Dk 15 zilimtosha kuamua mechi kwa asist zake murua kabisa,anafanya kile ambacho zimbwe alikifanya msimu uliopita,Japo hakumaliza hata first half but kwangu ndio man of the match
Erasto Nyoni
Jana Nyoni alionesha kwamba anacheza holding mildfider kweli aliwin mipira mingi na accurate yake ya pass ilikuwa juu Sana
Peter Banda & Shakho
Wanaendelea kumpa kocha kilichobora na wanalipa fadhila kwa Imani wanayopewa
Mzamiru
Uwepo wake umeimarisha eneo la kiungo hasa kudetect mipira ikiwa kwa wapinzani
Chama
Bado hajafanya makubwa Ila anaonyesha matumaini tumpe mda
Bocco & Kagere
Kagere haelewi anafanya nini kiwanjani na hata movement zake ni wrong mda wote ndio maana hapati nafasi ya kufunga
Bocco yeye amekuwa na movement za kuvutia kumwangalia hasa team inapotengeneza mashambulizi Ila pass accurate yake imeshuka Sana ,level ya fizik yake imeshuka Sana Leo hii Bocco hawezi kuwin mpira mbele ya mabeki wa kawaida Sana tofauti na last season
Waliotoka sub
Walicheza vizuri Sana Ila Kennedy ndio alikuwa Bora zaidi Ila Israel na Gadiel bado wanakazi ya kufanya ili wawe first 11
Biashara United
Benchi la ufundi
Vivie Bahati alikuja na plan nzuri na ilifanikiwa Ila Quality ya wachezaji ili wahukumu dk 15 za kwanza
Wachezaji
James setuba
Bonge la kipa japo on Target 75% zimepita Ila alionesha uhai
Defensi
Mangalo ,Maganga na Abdalah/bundala walipaform vizuri waliblock washambuliaji wapembeni wa Simba wasilione goli ama kuingia ndani ya box
Mildfider
Hapa utamkuta Mwamba moja wanamuita Awio alikuwa Bora Sana alichachafia Sana hakika alikuwa Bora Sana
Ramadan chombo
Redondo kwenye ubora mkubwa Sana aliounyesha Jana hakika jamaa ndio A.M Bora raia wa Tanzania kwa saivi hapa ajibu analakujifunza
Judica mafie
Alikuwa bora Sana alithubutu Sana na ndio alikuwa man of the match kwa biashara Jana
Washambuliaji
Christian ziga na Atupele Green
Hawa jamaa wanamovement Ila ziko low Sana japo hawakupata clear chance ambazo macho ya kawaida yangewahukumu Ila wao ndio waliomhakikishia kakolanya cleensheet
Waamuzi
Walikuwa Bora Sana labda kwakuwa mchezo hukuwa na matukio mengi ya utata japo line two Kuna offside alidanganya
Wandefull match ya wachezaji Quality ya kushindana car competitions
Natumai muuwazima wa afya njema kabisa na natumai Jana wengi wenu mlipata wasaa wakuangalia mechi ya Simba vs Biashara United pale kwa mkapa, kwenye hiyo mechi macho yangu yalibahatika kuona yafuatayo
Simba sc
Ndani ya kikosi Cha Simba sc ambae alikua mwenyeji wa mchezo niliona hivi
Benchi la ufundi
Bado kocha mkuu Pablo franco anakigugumizi hasa kuamua Nani acheze kwa muda gani na Nani aingie sab kwa muda gani mfano sub ya kumtoa John Bocco na kumuingiza kagere ili maliza wingi wa magoli kwenye mechi
Pia mtaalam wa viungo bado anaonyesha udhaifu wachezaji wanaonekana wapo kwenye low phisci na wapo Goi goi Sana kuwania mipira ya 50/50 na ndio unapoona kila mpira mrefu unaopigwa kwa Bocco huwa anaenda chini hata shomary na Inonga pamoja na zimbwe waliumia kutokana na aina hii ya mipira
Wachezaji waliofanya vizuri
Shomary kapombe
Dk 15 zilimtosha kuamua mechi kwa asist zake murua kabisa,anafanya kile ambacho zimbwe alikifanya msimu uliopita,Japo hakumaliza hata first half but kwangu ndio man of the match
Erasto Nyoni
Jana Nyoni alionesha kwamba anacheza holding mildfider kweli aliwin mipira mingi na accurate yake ya pass ilikuwa juu Sana
Peter Banda & Shakho
Wanaendelea kumpa kocha kilichobora na wanalipa fadhila kwa Imani wanayopewa
Mzamiru
Uwepo wake umeimarisha eneo la kiungo hasa kudetect mipira ikiwa kwa wapinzani
Chama
Bado hajafanya makubwa Ila anaonyesha matumaini tumpe mda
Bocco & Kagere
Kagere haelewi anafanya nini kiwanjani na hata movement zake ni wrong mda wote ndio maana hapati nafasi ya kufunga
Bocco yeye amekuwa na movement za kuvutia kumwangalia hasa team inapotengeneza mashambulizi Ila pass accurate yake imeshuka Sana ,level ya fizik yake imeshuka Sana Leo hii Bocco hawezi kuwin mpira mbele ya mabeki wa kawaida Sana tofauti na last season
Waliotoka sub
Walicheza vizuri Sana Ila Kennedy ndio alikuwa Bora zaidi Ila Israel na Gadiel bado wanakazi ya kufanya ili wawe first 11
Biashara United
Benchi la ufundi
Vivie Bahati alikuja na plan nzuri na ilifanikiwa Ila Quality ya wachezaji ili wahukumu dk 15 za kwanza
Wachezaji
James setuba
Bonge la kipa japo on Target 75% zimepita Ila alionesha uhai
Defensi
Mangalo ,Maganga na Abdalah/bundala walipaform vizuri waliblock washambuliaji wapembeni wa Simba wasilione goli ama kuingia ndani ya box
Mildfider
Hapa utamkuta Mwamba moja wanamuita Awio alikuwa Bora Sana alichachafia Sana hakika alikuwa Bora Sana
Ramadan chombo
Redondo kwenye ubora mkubwa Sana aliounyesha Jana hakika jamaa ndio A.M Bora raia wa Tanzania kwa saivi hapa ajibu analakujifunza
Judica mafie
Alikuwa bora Sana alithubutu Sana na ndio alikuwa man of the match kwa biashara Jana
Washambuliaji
Christian ziga na Atupele Green
Hawa jamaa wanamovement Ila ziko low Sana japo hawakupata clear chance ambazo macho ya kawaida yangewahukumu Ila wao ndio waliomhakikishia kakolanya cleensheet
Waamuzi
Walikuwa Bora Sana labda kwakuwa mchezo hukuwa na matukio mengi ya utata japo line two Kuna offside alidanganya
Wandefull match ya wachezaji Quality ya kushindana car competitions