ANT DRUGS
JF-Expert Member
- Dec 20, 2013
- 5,221
- 6,450
We dada punguza hasiraNimetukana huko kwa page ya team, nimeenda kwa page ya Ahmed Ally nimemchamba.
Nasubiri kesho niingie kwa Chama mwenyewe namchamba, si anajifanya anatema mbovu kwa comment, kesho ntamfurahisha.
Simba inakera na kuudhi mnoo, aaaah.