Kipenzi Changu
Platinum Member
- Aug 24, 2011
- 57,974
- 134,089
Viporo vyote vimeliwa bila utata wowote. Sasa Yanga inapumuliwa kisogoni. Yanga mnaisikia pumzi ya Simba Sc?
Hayo ndio maisha ya soka huwezi pata kila unachohitajiKama simba ingekuwa makini kwenye michezo 3 ingekuwa mbele kwa Alama sita.
Michezo kama.
Kagera Sugar.
Fontain Gate.
Azam.
Kama Makolokolo SC ingetembeza bahasha jinsi ilivyonyonga Mashujaa FC na StillenBosch SC kwa Madiba?Kama simba ingekuwa makini kwenye michezo 3 ingekuwa mbele kwa Alama sita.
Michezo kama.
Kagera Sugar.
Fontain Gate.
Azam.
Kagera sugar kivipi? Hao tuliwalamba 5 kwa moya sijui mbili?Kama simba ingekuwa makini kwenye michezo 3 ingekuwa mbele kwa Alama sita.
Michezo kama.
Kagera Sugar.
Fontain Gate.
Azam.
😂😂😂😂😂Ngoja tuone, weka video ya Simba anavyopumua kwa faida ya members.
Ahahahhh jamani nyieee....View attachment 3331750
Viporo vyote vimeliwa bila utata wowote. Sasa Yanga inapumuliwa kisogoni. Yanga mnaisikia pumzi ya Simba Sc?
Na wasipokuwa makini tunaweza kuwaingizia ule mwiko.Ahahahhh jamani nyieee....
Ila ni raha kumkimbiza mwizi kimya kimya....
Upo vizuri sana.Kagera sugar kivipi? Hao tuliwalamba 5 kwa moya sijui mbili?
Umeusahau uzi wako Statistician wa mchongo.View attachment 3331750
Viporo vyote vimeliwa bila utata wowote. Sasa Yanga inapumuliwa kisogoni. Yanga mnaisikia pumzi ya Simba Sc?